The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Ushapanic, mm ndiyo furaha yangu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣You are just idiot with no guts 😂😂
Ushapanic, mm ndiyo furaha yangu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣You are just idiot with no guts 😂😂
Furaha ya umaskini?😂😂🤣😂.Ushapanic, mm ndiyo furaha yangu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hellow black man a.k.a mkono wa jembe, tuendelee tulipoishia achana na huu uchafu wa Nairobi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Soon inaanza kuoperate hii....watu watakimbia humuSasa mkenya ni wa kumlingishia mtanzania miradi, vimiradi mnavyofanya vyote tulifanya na tunazidi kufanya, nyinyi mnajengewa uwanja mmoja, sisi tunajenga viwili Arusha na Dodoma na bado tuna vingine kama Amani Zanzibar, uwanja wa taifa ambao tutaufanyia renovation. Kwa sasa tunawapiga na joka kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bwana weee, ni vile watanzania hatunaga ushamba kiivyo, ingekuwa kule kwa hawa watembea na mbolea, wallahi ardhi ingeongea.
Najua unajaribu kuziba uchi lakini mshaambuliwa tayari😂😂🤣Hiz ni propaganda mzee ..za kufanya watu waache kujadili msiba wa mzee aliyeuliwa
Saa nyingine unaacha mengine yakupite
Quack has two meaning.Unajua maana ya quack? Go and check the meaning ndio ujue why I call you a quack😂😂🤣😂
Hukujua. Again hata paraphrasing hujui😂😂😂.Quack has two meaning.
1)A sound made by a duck.
2)Someone who is illiterate but claims to be a medical profession.
Usidhani sijui kiingereza,ndio maana nikasema sibishani na mtu wa namna yako because I know utakua unamaanishar kimoja kati ya hivyo viwili.