Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yule mtanzakundu wa crane salamu zimfikie popote pale vingungutiView attachment 3091647View attachment 3091648View attachment 3091649
Sasa mkenya ni wa kumlingishia mtanzania miradi, vimiradi mnavyofanya vyote tulifanya na tunazidi kufanya, nyinyi mnajengewa uwanja mmoja, sisi tunajenga viwili Arusha na Dodoma na bado tuna vingine kama Amani Zanzibar, uwanja wa taifa ambao tutaufanyia renovation. Kwa sasa tunawapiga na joka kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
20240908_091305.jpg
 
Sasa mkenya ni wa kumlingishia mtanzania miradi, vimiradi mnavyofanya vyote tulifanya na tunazidi kufanya, nyinyi mnajengewa uwanja mmoja, sisi tunajenga viwili Arusha na Dodoma na bado tuna vingine kama Amani Zanzibar, uwanja wa taifa ambao tutaufanyia renovation. Kwa sasa tunawapiga na joka kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3091721
Yani huwezi amini ngoma limezima Mara tano kwa mwezi na kila safari liko empty. Hata leo kitu kimezimia 👇😂😂
View: https://x.com/Binge1112/status/1833166681192964339?t=32Hj9lqRWk-nDrVYC4P7Lg&s=19
 
Back
Top Bottom