Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ushatawaza.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Bro vipi? Leo umekuja na furaha sana. Kwani leo mbwa hawakukusumbua kwa msitu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

IMG_0485.jpeg
 
Ushatawaza.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wanuka mavi mimi sijadili nao. Keep on posting huyo monkey. Until utatawaza them come we discuss. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huyu ni wewe bwana and you canโ€™t dispute your resemblance with it๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ


By the way si ulisema you will be ignoring me? What happened Mr. Baboonman?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
IMG_0485.jpeg
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Dah.! Dunia simama nishuke. Watu wanachambia karatasi and they are here bragging to be civilized. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Hii ni hatari sana. Jamaa badala ya kuona aibu avunge bado anapambania kombe.
 
Kenyans are crazy ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kumbe tunajadili na wanuka mavi humu ndani.? I thought ni wanasingiziwa tu au ni nongwa za The best 007 Kumbe ni real na wamethibitisha wenyewe.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ukitawaza na tissue paper + jua kali+ ile minguo Wanayovaa. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Teargas Fell sorry for you.
Kwani unadhani nilikuwa namaanisha nn nikiwaitaga wanuka mavi, si mmeona wenyewe wamethibitisha hapa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Hawa ndiyo wanaingia five star hotel, hiyo itakuwa ni faivu sitaa oteli ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ View attachment 3089497
Kiatu mpaka kimekua na matege. Kwa jicho langu la kiuchunguzi naona kabisa ni Oversize ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ

Halafu unaambiwa, hawa ndio wajanja wa Nairobi
 
Leta evidence that Sabuni can kill Clostridium difficle๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

I just want you bring a support document showing that soap can kill C. difficle.
Bro tufanye umeshinda.
Still unarudia kosa,am not talking about just any kind of soap,am talking about medicated soap.
Aya umeshinda ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
 
From "watanzania wote hutawadha" to "toilet paper hutumika katika majumba machache" and "Yana matumizi machache"

Wewe ni wa kupuuzwa tu
Muda mwingine uwe unasoma kwa kuelewa.
Mwenzako Teargas alisema ONLY MUSLIMS ndio hutawadha na maji.
Mimi nikamwambia Watanzania wote waislam kwa wakristo hutawadha kwa maji.

Sijui ulikua unafaulu vipi mitihani hata kusoma kwa kuelewa huwezi.
 
Back
Top Bottom