Sidhani mkapa alikua na choice asee IMF, WB na structural adjustment programme ndio zilidemand kucut government spending.
Nadhani angetoka Nyerere aingie mkapa kungekua na unafuu, Mwinyi kaweka Ruxa nyingi asee.
Kupata Magufuli mwingine anayejua kuspend domestic revenue si kazi rahisi.
Unakusanya Trilion 3 na kelele juu kwa mwezi why 500b usiziweke mradi wa kimkakati very demanding kwa wananchi, tuseme 3Trl, uwe unalipa installement kidogo kwa miaka kadhaa ya ujenzi huo.
JNHP Trilion 6 iliwezekana bila taabu ifi unakusanya 3Trillion kwa mwezi, miaka 3 ukiwa unategea 50+bl kila mwezi bwawa hili hapa miaka mitatu bila tabu yoyote
Cha ajabu unasikia bil 100 zimepotea halmashauri, bilion zingine miradi hewa, nyingine tenda hewa, nyingine zimenunua chapati 😂😂😂.
Aliposema Tanzania ni Tajiri hatukumuelewa ila ukianalyaze kwa makini inawezekana kabisa kufanya mambo ya kitajiri through Domestic revenue kwa nchi.
Hata tukiamua 6 lane Expressway from Dar to Mwanza via domestic revenue kwa target ya miaka kadhaa inawezekana.
Now miradi naona ni mizuri nimpongeze Mama naona kitu atleast hajaharibu miradi mingi iliyoachwa.