Najua unakuwanga mgumu kuelewa. Wacha nikueleze kama mtoto mdogo.
Hizo investment unazoongelea kwenu ni kitu kikubwa ila Kwa China ni tone la maji kwenye bahari. Yani Leo hii mkiacha kushirikiana na China, China haitoadhirika hata kidogo ila China wakaiacha kushirikiana nanyi uchumi wenu utaadhirika mno. Nilikupea mfano awali kwamba GDP yenu haifikii GDP ya mji wa 100 kwa ukubwa China. If you can't understand this simple reality then I have nothing else to tell you.
Shida yenu mnapenda kufanya vitu na emotions. Yani Rais wenu akisalimiana na Rais wa nchi kubwa mnaona kama mmedhaminiwa sana na hiyo nchi. Sorry to break it to you, kwa mchina Mwafrika ni Mwafrika tu, hamna tofauti.