Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So Wikipedia page ya China-Tanzania relations ndio proof yako? Hivi hujui Kila nchi inayo? Umefika level Gani kimasomo bradhee?🤣🤣
Yaani Tanzania isiwe na history na China kwa yote haya yaliotokea, Kunyaland ndio iwe nayo? 😂😂😂

Screenshot_20240904-122153.jpg
 
So Wikipedia page ya China-Tanzania relations ndio proof yako? Hivi hujui Kila nchi inayo? Umefika level Gani kimasomo bradhee?🤣🤣
Bro unaruka ruka nini!??
We si umesema Tanzania haina urafiki na China!?
Au sio wewe!?
We si umesema Tanzania haina ushirikiano na China ni misaada tu wanapewa!?
Nakuletea maelezo ya urafiki na ushirikiano baina ya China na Tanzania unaanza kuruka.
Unaruka nini?
We ni umedata!?
 
Bro unaruka ruka nini!??
We si umesema Tanzania haina urafiki na China!?
Au sio wewe!?
We si umesema Tanzania haina ushirikiano na China ni misaada tu wanapewa!?
Nakuletea maelezo ya urafiki na ushirikiano baina ya China na Tanzania unaanza kuruka.
Unaruka nini?
We ni umedata!?
Nimesema urafiki wa Tanzania na China ni kama wa ndovu na panya. Tanzania haina manufaa yoyote kwa China ila China ina huruma kwa Tanzania. Na nikasema the average Chinese on the streets haijui Tanzania.
'Urafiki' wa Tanzania na China hauna tofauti na 'urafiki' wa Kenya na China, Uganda na China, Zambia na China, Rwanda na China etc. Mnajipatia umaarufu msio nao kwa kujiona mko na something special na China wakati hata Kenya inajulikana China kushinda Vumbistan. Kenya inapata watalii wengi kutoka China kuliko Vumbistan.
 
Nimesema urafiki wa Tanzania na China ni kama wa ndovu na panya. Tanzania haina manufaa yoyote kwa China ila China ina huruma kwa Tanzania. Na nikasema the average Chinese on the streets haijui Tanzania.
'Urafiki' wa Tanzania na China hauna tofauti na 'urafiki' wa Kenya na China, Uganda na China, Zambia na China, Rwanda na China etc. Mnajipatia umaarufu msio nao kwa kujiona mko na something special na China wakati hata Kenya inajulikana China kushinda Vumbistan. Kenya inapata watalii wengi kutoka China kuliko Vumbistan.
Hakuna uhusiano wowote wa Ndovu na Panya. Hujui namna ya kutumia misemo. Nenda shule kwanza ukajifunze Kiswahili

Msemo lazima uwe na maana na ushabihane.
Panya hajawahi kuwa na uhusiano na Tembo

You write many words without any context
 
Nimesema urafiki wa Tanzania na China ni kama wa ndovu na panya. Tanzania haina manufaa yoyote kwa China ila China ina huruma kwa Tanzania. Na nikasema the average Chinese on the streets haijui Tanzania.
'Urafiki' wa Tanzania na China hauna tofauti na 'urafiki' wa Kenya na China, Uganda na China, Zambia na China, Rwanda na China etc. Mnajipatia umaarufu msio nao kwa kujiona mko na something special na China wakati hata Kenya inajulikana China kushinda Vumbistan. Kenya inapata watalii wengi kutoka China kuliko Vumbistan.
Huu uongo unaupata wapi!??
Nani kakwambia China hainufaiki na Tanzania!??
Unajua China kawekeza miradi mingapi Tanzania kuliko alivyowekeza Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi!?
Hivi unajielewa bro!??
Ndio maana nikakuletea historia ya Urafiki wa Tanzania na China wapi umetokea.
Kenya hamuna historia kubwa ya kihivyo baina yenu na China.
Ukanda wote huu au tuseme Afrika nzima nchi yenye historia kubwa na China ni Tanzania.
Lete uwekezaji wa China Kenya na wa China Tanzania tupimie hapa.
Pia lete biashara za ushirikiano Kenya na China na mimi nilete za Tanzania China.
Usisemee mikopo hapana biashara za ushirikiano.
 
Nilikuambia mambo ya Kipchoge na Hersi sijadili tena. Ni kumkosea Kipchoge heshima.
Hata mimi nishamalizana mjadala huwa siendekezi mjadala wa mtu mwenye net worth sawa na Shilole.
Maana net worth ya Kipchoge ni net worth ya Shilole.
End of discussion.
 
Back
Top Bottom