Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tupo na TANZANIA MUSIC AWARDS wao wapo na nini?

1725292623222.png
 
Kaenda kwenye mkutano ambao Rais wa Tanzania ndiye ataongelea masuala ya East Africa.

Yaani State Visit unavaa sweta, Diplomasia ya Kenya ni zero kabisa.

Uvaaji wa namna hiyo upo na tafsiri nyingi sana kwenye uwanja wa International Politics and Diplomacy.


Maana yake mmewadharau sana wachina
Kwakweli hapo kazingua, huwezi kuvaa vile especially ni raisi kutoka taifa maskini, yani unaenda kuomba pesa alafu unavaa bila heshima? Hapo President Ruto kaharibu kabisa.
 
Kwakweli hapo kazingua, huwezi kuvaa vile especially ni raisi kutoka taifa maskini, yani unaenda kuomba pesa alafu unavaa bila heshima? Hapo President Ruto kaharibu kabisa.
Mwalimu wangu wa International Relations alinieleza hivi:

1725294012728.png


Tunawaambia waje wasome kwenye chuo chetu cha Diplomasia wanashupaza shingo. Alichokifanya Ruto wanaweza wakakichukulia poa. But hiyo ni definition ya nchi yao kuwa ni watu wenye Kiburi

Hata viongozi wa USA wakienda China hawavai hivyo.

Waambie wasaidizi wa Ruto waje wasome hapa:

 
Back
Top Bottom