kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
pamoja sana comrade.Nyie watu mmenipa hamu ya kusafiri....utalii wa ndani mwezi huu unahusika!
pamoja sana comrade.Nyie watu mmenipa hamu ya kusafiri....utalii wa ndani mwezi huu unahusika!
Kenyatta university ni 1200 acres...ferk off.Hzo ni more than 7000 appartments pamoja houses 1000 and villas 2000😀😀😀😀😀😀 ukubwa wa eneo ni hekari 500
Hvi wewe hua unajua y kibera is the biggest slum in the world , do u knw the reason behind????lol.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
500km square of slums
Dodoma university 6000 acres😀😀😀😀😀Kenyatta university ni 1200 acres...ferk off.
Labda kwakua anaona zinapita train😀😀😀Huyo hizo brt lanes kwake sio sehemu ya barabara. Ukizijumlisha hizo ni km zaidi ya 20!
hebu tuwacheke hawa wakenya.......
maana wanajihisi wao ndio wanaojenga vile vibanda chakavu peke yao....hawajui kama dar inalisongesha gurudumu
hawanaga picha mpya...Wakenya mmekimbia, hatuoni picha za maana. Mbona hamjibu?? Mmekaa kimya.
bora hizi kuliko zenu ambazo ukuta ni mabati.
Hio sio shida hata, coz i know you are proud of them. shida ni:that is what 90% of Daresaalam is made up of.Embu tafuta sehemu iliyochoka dar es salaam zaidi ya hii.
Hahaaa bad enough hiyo ndio huku tunaitaga uswazi,yaani mahali pa chini kabisa.lakini kuna nyumba za matofali tupu na bati.
Hii ni 1000×better kwa kibela yenu.
mwachie akapumzike huyo aliamka na hangover ya miraa😀😀😀😀😀
Google BRT, then google motorway and come with a credible photo.
hapo ndiyo mwisho wenu.....mnaangaka kutengeneza high! way wakati barabara za kwenda kijijini kwenu hamna...
kwani BRT ni train au??? au ziliteremka kutoka mbinguni bro be serious banaTuseme unagari waendesha hapo ubongo kisha uone laini uliyopo ina msongamano. Laini jirani pia IPO vilevile lakini ile ya ndani kabisa ya BRT haina gari. Utaingiza gari lako hapo? Hio BRT lane itakuazimu kivipi wewe mwendeshaji gari?
A BRT is almost entirely a different road all together with no interaction with the adjacent road whatsoever
This looks great yes, but do you remember our top ranking Universities list?UDOM Tanzania
![]()
![]()
![]()
![]()
UDOM founded 2007 tu. Sasa inawalaza hoi. Haya ni mapinduzi makubwa sana, sitashangaa kuona kenya ikiwa kwenye mkia. Maana sasa hivi mmezubaa sana. Mmebaki kukalia sifa za kijinga.This looks great yes, but do you remember our top ranking Universities list?
It did not appear on the top 200. So what's the use of beauty without brains... What important thing has that university discovered, invented or has made it resourceful to be proud of.
We have a bunch of them. Even JKUAT UNIVERSITY, ranked 6th in Kenya has made laptops. You have nothing to offer beyond those buildings and no wonder you are ranked very poorly.
Universities are meant for innovations.
Majina za hizo barabara please.amazing view of surfaced/paved roads in tanzania.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()