Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

lol.....
c994e0d124133196094766e0eec1d3da.jpg

894cdee748e17132ef74594de075c770.jpg
e4f035f716daffa49d350fc362154ca6.jpg
1157b487a4e69fd733377d0786a09bbe.jpg

9d345d51a8c1e957778ff71a70756635.jpg
0fe28f726ccca798568843726a44ba8f.jpg
07b554b10660b37993e69842c727c0c0.jpg


500km square of slums
Hvi wewe hua unajua y kibera is the biggest slum in the world , do u knw the reason behind????
 
bora hizi kuliko zenu ambazo ukuta ni mabati.
Embu tafuta sehemu iliyochoka dar es salaam zaidi ya hii.

Hahaaa bad enough hiyo ndio huku tunaitaga uswazi,yaani mahali pa chini kabisa.lakini kuna nyumba za matofali tupu na bati.

Hii ni 1000×better kwa kibela yenu.
Hio sio shida hata, coz i know you are proud of them. shida ni:that is what 90% of Daresaalam is made up of.
 
Tuseme unagari waendesha hapo ubongo kisha uone laini uliyopo ina msongamano. Laini jirani pia IPO vilevile lakini ile ya ndani kabisa ya BRT haina gari. Utaingiza gari lako hapo? Hio BRT lane itakuazimu kivipi wewe mwendeshaji gari?

A BRT is almost entirely a different road all together with no interaction with the adjacent road whatsoever
 
Tuseme unagari waendesha hapo ubongo kisha uone laini uliyopo ina msongamano. Laini jirani pia IPO vilevile lakini ile ya ndani kabisa ya BRT haina gari. Utaingiza gari lako hapo? Hio BRT lane itakuazimu kivipi wewe mwendeshaji gari?

A BRT is almost entirely a different road all together with no interaction with the adjacent road whatsoever
kwani BRT ni train au??? au ziliteremka kutoka mbinguni bro be serious bana
 
UDOM Tanzania

DSC00156.JPG


UDOM%206.png


slide-1-jpg.535717


2016tanzaniatodaydodomauniversity7june7.jpg
This looks great yes, but do you remember our top ranking Universities list?
It did not appear on the top 200. So what's the use of beauty without brains... What important thing has that university discovered, invented or has made it resourceful to be proud of.
We have a bunch of them. Even JKUAT UNIVERSITY, ranked 6th in Kenya has made laptops. You have nothing to offer beyond those buildings and no wonder you are ranked very poorly.
Universities are meant for innovations.
 
This looks great yes, but do you remember our top ranking Universities list?
It did not appear on the top 200. So what's the use of beauty without brains... What important thing has that university discovered, invented or has made it resourceful to be proud of.
We have a bunch of them. Even JKUAT UNIVERSITY, ranked 6th in Kenya has made laptops. You have nothing to offer beyond those buildings and no wonder you are ranked very poorly.
Universities are meant for innovations.
UDOM founded 2007 tu. Sasa inawalaza hoi. Haya ni mapinduzi makubwa sana, sitashangaa kuona kenya ikiwa kwenye mkia. Maana sasa hivi mmezubaa sana. Mmebaki kukalia sifa za kijinga.
 
Back
Top Bottom