Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watumishi housing gezaulole dar
IMG_1554.JPG
 
Waache hawa, sasa ukimuwekea Thika road atakujibu na nini?
Kama hii iliweka atakujibu na nini?
Ukimuekea Garden city akujibu na nini? NK wakifika hapo wataanza kuharibu thread na vijimambo, Kheri Mombasa watakuwa na kitu cha kuchangia
Wakenya mmekimbia, hatuoni picha za maana. Mbona hamjibu?? Mmekaa kimya.
 
umepwaya. Acheni kugombania chakula na kuishi kama wanyama. Utaokoteza data kutoka kwenye blogs mbalimbali. Ukweli utabaki palepale kwamba wakenya wanaishi kama nguruwe. Bye nalala.
Tunaishi kama wanyama mkiishi kama wafalme... Umeeleza vizuri sana heko!
tanzania-dar-es-salaam-aerial-view-of-slums-picture-id464670401
 
Embu tafuta sehemu iliyochoka dar es salaam zaidi ya hii.

Hahaaa bad enough hiyo ndio huku tunaitaga uswazi,yaani mahali pa chini kabisa.lakini kuna nyumba za matofali tupu na bati.

Hii ni 1000×better kwa kibela yenu.
 
Mwenzako alielewa alichouliza , labda nikupe elimu kidogo dar kuna barabara nyingi sana zinazozunguka mji kuliko nairobi, na hili halina shaka
Hahahaha! that's the best road/highway in Tz...don't be ashamed.
 
Hi
hizo nyumba ni ndogo aje. kwani ni bedsitter
Hizi ni kwa ajili ya makazi ya muda kwa wapangaji.
Usitegemee ikawa ya kujiachia sana.

Nyumba zenye nafasi utajenga mwenyewe unayotaka ktk kiwanja chako.
 
Langata rd
DCG-wPpXoAAVgNE.jpg:small


Mombasa rd
18809059_1356774794408954_8737823415651532800_n.jpg


Thika Rd
1508856.jpg


at githurai "slum"
githurai.jpg


outering Rd at kariobangi "slum"
7AY3F.jpg


Southern bypass
13130012_581475805349645_1447822436_n.jpg


14145343_1575796279383013_41537036_n.jpg
 
Back
Top Bottom