Vision ya Nchi inasemaje kwenye self sufficient economy?
Mpaka kila siku nchi matatizo yale yale
Nakumbuka tulianza na UHURU NA KAZI
Ili kuifanya nchi ijitosheleze chakula na kupunguza utegemezi wa chakula,
Tukaja ARUSHA DECLARATION (Ujamaa and Self Reliance) ndio kuanzisha viwanda vya kila aina nchini kuweka mfumo imara wa uchumi wa kujitengemea. Licha wa watu kukosoa lakini kipindi hicho tulianzisha Sera nyingi ambazo ni foundation ya Tanzania hii pia zingine zimeifanya Tanzania inufaike hadi leo moja ni FOREIGN POLICY, mbili AGRICULTURAL POLICY, LAND OWNERSHIP, NATURAL RESOURCES MANAGEMENT.
Kucorrect sera hizo tukaja na TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025 wakiona BRT wanajua tumekurupuka?.
Sema CCM wapumbavu manina zao ilitakiwa kila changes za vision yale mema ya vision iliyopita yaendelezwe mabaya yafanyiwe kazi yasijirudie especially AZIMIO LA ARUSHA iwe jua au mvua hawakupaswa kukubali sharti la kupunguza production ya viwanda, na kuvipoteza kabisa kisa STRUCTURAL ADJUSTMENT PROGRAM ya IMF na WB.
Tunakuja kumbuka viwanda muda umeenda na tunajenga vile vile vilivyobinafsishwa na ukiangalia vingine vilikua better.
Hao wakunya bana njaa mpaka leo ndio nauliza hakuna Vision toka UHURU ya kumaliza njaa?