Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 3083627
Ni 👆 👆 kama mtaro ya kupeleka maji taka hehehe.., yaani haiwezi kubeba double stalk.., mko hovyo! such tunnels are suitable for passenger trains, viongozi wenu wanaacha wapi akili zao wakati wana plan such??.., ikija SGR line hadi ndani ya port, yaani mizigo inatoka kwa meli direct kwa SGR,., nyie bado sana, mnajenga hadi waleo, miaka zaidi ya saba, kisha mmejenga kifala sana.., tunnel!

Mombasa
View attachment 3083623
View attachment 3083624
View attachment 3083625
View attachment 3083626
Hayo macho yako yadonate kwa kipofu mwenye kichwa cheenye uwezo wa kuyatumia. Ni upotevu wa resources kuendelea kubaki kwenye hilo bichwa lako
 
Hii inaitwa Saba saba. Wanaijua huko Congo na Uganda

View attachment 3084290

Kaka yake huyu hapa:

View attachment 3084291
Hiyo ya chini wameongeza nyingine au?

Maana kuna hizi pia

1000154213.jpg
 
Meli iliyokuja kutoka China kwaajili ya matibabu na zingine zilikuja kwaajili ya mazoezi. Nadhani zilileta zana ambazo hazijawekwa kwenye display.

Hebu check hii hapa kwa karibu. It seem something from china

View attachment 3084403
🤣🤣🤣 huyu mama kweli mwanajeshi...if you know what I mean
 
Thanks lakini Hata sikupigwa ban. They just denied me privileges of commenting in this thread, zile zingine Nilikuwa naezacommend but I chose seat back. Hata hii thread pia hiyo restriction iliisha on 29th August 23:59PM😂😂🤣😂.
They cut my privileges too after I made a comment about ATCL… yet some of them insult us here every day.. sensitive much!..😂😂
 

The CIA Intelligence Support Activity ( a tier 1 special mission unit) is running the Ukraine war… from advice to targets … without the US support, Ukraine would have fallen down already… this an indirect confrontation between Russia and the US… yet the US is advising Ukrainian forces to hold back and move step by step( they can’t even attack deep into Russia despite capabilities)…. Imagine if Ukraine was allowed to go all out..
 
Back
Top Bottom