Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Enzi hizo miaka ya 2010-2015 Wakundustan wakiwekeza miradi elfu kadhaa na thamani yake haizidi hata Usd 100 Bongo, (Unakuta mkundustan ni dalali ana ka value kwenye makaratasi tu😂) Tulikua tunaambiwa we “ We own Tanzania” 😂😂😂
Leo hii ile nakumama ile supermarket imekufa, Uchumi imekufa huku Shoppers ikifungua tawi kila kona nchini Mpaka TABATA 😂

Sasa hivi bank zao kadhaa zinapata faida Tanzania kwa wenye hela. (Tanzanian’s are Rich) 😂
Ama kweli anayecheka wa mwisho kicheko kinasikika zaidi😂
 
You got my point. That's the most important thing. These sideshows won't change a thinge. The day you'll show me any Scania assembly plant in Tanganyika I'll start egaging you on these topics
Wich point. I asked you which brand of bus do you have in Kenya? You ask me to get your point 😀 😀.
Just give me a name.
 
Udhubutu unalipa, naamini yule mzee angekuwepo now ni makofi kila kona. Kipindi anaanzisha haya yote tulimuona mbaya sababu alifunga mkanda (No ajira, no posho, no kufunika kombe kwenye kodi, no ujanja ujanja, no uzembe) ili mambo mengi yatekelezeke.

IMAGINE MUDA HUU ANGEKUA HOW PROUDS na Tanzania ya Viwanda baada ya kukamilisha foundation kuu ya Industrialization Energy (JNHP), Infrastructure (Kigogo Busisi, SGR, ALL PORTS RENOVATION, DAR PORT EXPANSION, BRT, AIR TANZANIA)
Raw Materials (Akiwa proudly na sheria yake ya Permanent Sovereignty ambayo kuna ujinga mwingi ilifuta hadi kuwa na Mgodi wa NICKEL TEMBO).

Naamini muda huu kungekua furaha sana.

Though kuna kitu kwenye hii battle tungekuwa tunapopolewa mawe WAMACHINGA

I HOPE VIONGOZI WA SASA WAJIFUNZE KUFANYA UTHUBUTU, ONA SASA HADI USA ANAFIKIRIA KUDIVERT ROUTE YA LOBITO.

Si lazima kusikiliza wajinga wachache wanaosifia stick to Unachokiamini kama kiongozi as long as ni chema kwa nchi.
Umenena vyema mkuu 🙏
 
Kwanini wakenya huwa hawamalizii miradi mkuu?
Wakenya wanapenda Sana kufanya miradi ya mashindano bila kuzingatia tija na umuhimu kwa wakat husika 😂😂😂

Hata SGR walikimbia kujengewa baada ya kusikia Tanzania ina mpango huo ona SASA walichokipata ni deni ambalo haliwez kulipika hata miaka 50 na mpaka Leo SGR Yao haijaingia hata sent 1 faida zaidi ya Kula hasara mpaka zaidi ya 10b kwa nusu mwaka 😂😂😂😂

Wakenya wanapenda sifa waonekane wako vzr kumbe wanakufa ndani kwa ndani
 
Wakenya wanapenda Sana kufanya miradi ya mashindano bila kuzingatia tija na umuhimu kwa wakat husika 😂😂😂

Hata SGR walikimbia kujengewa baada ya kusikia Tanzania ina mpango huo ona SASA walichokipata ni deni ambalo haliwez kulipika hata miaka 50 na mpaka Leo SGR Yao haijaingia hata sent 1 faida zaidi ya Kula hasara mpaka zaidi ya 10b kwa nusu mwaka 😂😂😂😂

Wakenya wanapenda sifa waonekane wako vzr kumbe wanakufa ndani kwa ndani
Zamani nilikuwa nadhani wapo vizuri kweli 😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Udhubutu unalipa, naamini yule mzee angekuwepo now ni makofi kila kona. Kipindi anaanzisha haya yote tulimuona mbaya sababu alifunga mkanda (No ajira, no posho, no kufunika kombe kwenye kodi, no ujanja ujanja, no uzembe) ili mambo mengi yatekelezeke.

IMAGINE MUDA HUU ANGEKUA HOW PROUDS na Tanzania ya Viwanda baada ya kukamilisha foundation kuu ya Industrialization Energy (JNHP), Infrastructure (Kigogo Busisi, SGR, ALL PORTS RENOVATION, DAR PORT EXPANSION, BRT, AIR TANZANIA)
Raw Materials (Akiwa proudly na sheria yake ya Permanent Sovereignty ambayo kuna ujinga mwingi ilifuta hadi kuwa na Mgodi wa NICKEL TEMBO).

Naamini muda huu kungekua furaha sana.

Though kuna kitu kwenye hii battle tungekuwa tunapopolewa mawe WAMACHINGA

I HOPE VIONGOZI WA SASA WAJIFUNZE KUFANYA UTHUBUTU, ONA SASA HADI USA ANAFIKIRIA KUDIVERT ROUTE YA LOBITO.

Si lazima kusikiliza wajinga wachache wanaosifia stick to Unachokiamini kama kiongozi as long as ni chema kwa nchi.
Well said Bro. RIP The Late President John Joseph Pombe Magufuli, hakuna sehemu ambayo huwa namkumbuka huyu mzee kama nikipita barabara ya Ubungo- Kibaha hasa sehemu ya Mbezi Mwisho, usipozoea ule mzunguko wa zile barabara za juu unaweza potea fasta tu, imagine miaka 10 iliyopita sehemu ile ilivyokuwa na Jam moja yenye stress isiyoelezeka. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Tutaonana Baadae🧚🏾‍♂️
 
Back
Top Bottom