ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
Jamani. Battle hii imekuwa weak kiasi hiki? Badala ya kuoneshana big projects za kutetemesha, tunaoneshwa nyumba moja moja. 😀 😀 😀
ichoboy01 Kijana wa Hyundai. 🤣 🤣 🤣 Hapo vipi.
View: https://www.instagram.com/p/C_SPRikNp4e/
So Jana pia kulikua na blackout at JKIA😂😂
Na hakusema mumekaa kimya
View: https://x.com/TheStarKenya/status/1829789401410351137?t=PgpdqOQ-VekoNbYl38o6RQ&s=19
View: https://x.com/AshPapi05/status/1829489844550246583?t=inVMtUJjpMcJCxdvCpECYQ&s=19
Huyu bila shaka kaja kupanda Joka.
Lazima aipost na kuisifia
This is exactly what Tanzania did and continue doing.., umeiba kauli yangu, niliwaambia hili kitambo, unabadilisha iwe eti ni Kenya.., Tanzania haikua na mpango wa SGR kabla ya Kenya kilaza., ndio maana mlikurupuka na mradi na mizigo hamuna, sasa imekua ya kupiga route za daladala.., freight haiwezi kuiletea faida ya kuruduisha deni, mwehu.., nyambaff!Wakenya wanapenda Sana kufanya miradi ya mashindano bila kuzingatia tija na umuhimu kwa wakat husika 😂😂😂
Hata SGR walikimbia kujengewa baada ya kusikia Tanzania ina mpango huo ona SASA walichokipata ni deni ambalo haliwez kulipika hata miaka 50 na mpaka Leo SGR Yao haijaingia hata sent 1 faida zaidi ya Kula hasara mpaka zaidi ya 10b kwa nusu mwaka 😂😂😂😂
Wakenya wanapenda sifa waonekane wako vzr kumbe wanakufa ndani kwa ndani
Mkuu huku mnapotaka kwenda kwa sisi waafrika bado sana kaka, sisi bado tunasumbuliwa na njaa na umaskini uliokithiri, hii demokrasia mnayotaka ndugu zetu mtaipata miaka 200 ijayo pale njaa itakapokuwa imetoweka. Kwa sasa waafrika tuishi kwenye zone yetu, tusiige developed Nations.Jaribu hii kwa mama suluhu ukujiwe usiku ukatwe makende. Vumbistan still living in the middle ages.
😅😅😅😅😅😅😅This is exactly what Tanzania did and continue doing.., umeiba kauli yangu, niliwaambia hili kitambo, unabadilisha iwe eti ni Kenya.., Tanzania haikua na mpango wa SGR kabla ya Kenya kilaza., ndio maana mlikurupuka na mradi na mizigo hamuna, sasa imekua ya kupiga route za daladala.., freight haiwezi kuiletea faida ya kuruduisha deni, mwehu.., nyambaff!
Safi, nafikiri mnajitahidi, atleast mmejaribu.Wale wa show us even an inch of Konza City wako wapi sasa!?
View attachment 3083176View attachment 3083177View attachment 3083178View attachment 3083180View attachment 3083183View attachment 3083184View attachment 3083185View attachment 3083186View attachment 3083187