Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Oaky.
Check this Drone view video. Kisha niwekee ya Nairobi
safi.....hao majamaa wanaishi kwa kukariri
Oaky.
Check this Drone view video. Kisha niwekee ya Nairobi
Profit negative 259 b usd hahaha😀😀
Hapa wanapita kimya kimya wakiuma ndimu.Meanwhile @capetown7's we don't go to act like fans but we prefer whooping niggas asses
![]()
kwanza wakenya kama wakenya hata nchini kwao uchumi hauendeshwi nawakenya wanaomiliki uchumi Wa Kenya ni makabulu.....yaani hapa tunabishana na vilaza ambao hawawezi kuwa stable wao kama wao wale watu Wa ughaibuni wakikimbia tu Kenya yote chali...nasubiri majina ya wakenya(indigenous kenyans not settlers) wanaomiliki rea vipingo....au niwape mda zaidi maana sidhani kama google inaweza kuwasaidia katika hili.![]()
![]()
![]()
![]()
Hapa ndio ujinga yako imekufikisha ndugu yangu?
Unataka kulilia nini sasa. Wewe unachagua sehemu unayotaka natakanikuoneshe sehemu zingine uone.Hapa ndio ujinga yako imekufikisha ndugu yangu?
Ianike link hapa.
hao hawana brand zao kama zao mpaka mzungu aende Kenya awazalishie bidhaa wao kama wao hawajiwezisi tunaongelea vitu local? mbona unataja vitu vya Cocacola (Minute maid) na hiyou Del Monte
Au ?
http://m.ippmedia.com/en/news/tanzania-named-africa’s-best-safari-country-major-boost-tourHapa ndio ujinga yako imekufikisha ndugu yangu?
Ianike link hapa.
The words are private island. I thought you would bring up the Serengeti topic allover again.Unataka kulilia nini sasa. Wewe unachagua sehemu unayotaka natakanikuoneshe sehemu zingine uone.
World's Leading Exclusive Private Island 2017
World's Leading Exclusive Private Island 2017
Don't be excited about small issues gooned boy...A rollercoaster ride takes you nowhere but an SGR ride will cover 500km, tag me "if" you manage to post a working one(no renders and tuta stuff).Atakaeonesha rolercoster in kenya anitag😀😀
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi
Hahaha najua hamuna rolercoster 😀😀😀😀Don't be excited about small issues gooned boy...A rollercoaster ride takes you nowhere but an SGR ride will cover 500km, tag me "if" you manage to post a working one(no renders and tuta stuff).
Nitaumia aje na a non- existent thing?Hahaha najua hamuna rolercoster 😀😀😀😀
Pole sana bro zisikutie stress bure
Tumeanza ujenzi wa SGR mwezi wa nne mwaka huu
So SGR ya tanzania itakuumiza sana kichwa
Usisahau yakwenu mulijenga kwa miaka 3 na nusu😛