ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,245
Naona wamegeuka kuwa kama ndugu zao Wakenya.
Mombasa ni sawa na Arusha tu 🤣 🤣 🤣Nyie jamaa mnaona vile Airports zetu ziko busy? Haya pambaneni na Kiwanja chenu kimoja ngoja Msalato na Mwanza vikamilike mtaona show nyingine!!
View attachment 3079741
View: https://youtu.be/axeesbi52rs?si=EQzX_qHQ6fBXEDA_
MY TAKE
Naiona Mbagala ikiwa zaidi ya K'koo...
View: https://youtu.be/axeesbi52rs?si=EQzX_qHQ6fBXEDA_
MY TAKE
Naiona Mbagala ikiwa zaidi ya K'koo...
Teargas baada ya kupigwa ban kafungua utitiri wa accountsMimi MTanzania ila Jiji la Dar-es-salaam ni very poor katika miundo mbinu ya barabara sbb mara nyingi miundo mbinu yetu haiwi planned na serikali inaanzishwa na mwananchi aliyevamia ardhi na baadae kuja kukarabatiwa na serikali hata kama ni miembamba au imepita mahali sio na ulinganifu unaofanyika hapa ni wa picha zinazo pigwa maeneo mazuri na picha za juu tu sio za chini ila uhalisia bongo iko poorly planned …..vumbi mpaka posta usafi kwetu mwiko …miji kama masaki barabara mbovu….watu au serikali inatakiwa itengeneze gardens pembeni mwa barabara….but hakuna barabara zinatelekezwa tu haya ,….kariakoo iko very poorly planned kwanza chafu, kuingia na gari shida sana etc
Habari za Kiabunuasi kama Teargas na malori yao wanaita mabasi! Hao nao ni mabingwa wa ku-cook data!Naona wamegeuka kuwa kama ndugu zao Wakenya.
😂😂😂😂Ethiopia kila mwezi umeme kukatika,huo uwezo wa ku export kwetu umeme wanautoa wapi!??