Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi MTanzania ila Jiji la Dar-es-salaam ni very poor katika miundo mbinu ya barabara sbb mara nyingi miundo mbinu yetu haiwi planned na serikali inaanzishwa na mwananchi aliyevamia ardhi na baadae kuja kukarabatiwa na serikali hata kama ni miembamba au imepita mahali sio na ulinganifu unaofanyika hapa ni wa picha zinazo pigwa maeneo mazuri na picha za juu tu sio za chini ila uhalisia bongo iko poorly planned …..vumbi mpaka posta usafi kwetu mwiko …miji kama masaki barabara mbovu….watu au serikali inatakiwa itengeneze gardens pembeni mwa barabara….but hakuna barabara zinatelekezwa tu haya ,….kariakoo iko very poorly planned kwanza chafu, kuingia na gari shida sana etc
 
Tanzania illegal immigrants in southafrica are among the most notorious foreigners at par with Nigerians
20240827_060723.jpg
 
Mimi MTanzania ila Jiji la Dar-es-salaam ni very poor katika miundo mbinu ya barabara sbb mara nyingi miundo mbinu yetu haiwi planned na serikali inaanzishwa na mwananchi aliyevamia ardhi na baadae kuja kukarabatiwa na serikali hata kama ni miembamba au imepita mahali sio na ulinganifu unaofanyika hapa ni wa picha zinazo pigwa maeneo mazuri na picha za juu tu sio za chini ila uhalisia bongo iko poorly planned …..vumbi mpaka posta usafi kwetu mwiko …miji kama masaki barabara mbovu….watu au serikali inatakiwa itengeneze gardens pembeni mwa barabara….but hakuna barabara zinatelekezwa tu haya ,….kariakoo iko very poorly planned kwanza chafu, kuingia na gari shida sana etc
Teargas baada ya kupigwa ban kafungua utitiri wa accounts
 
Back
Top Bottom