Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee hatuna namba za hivyo hapa Tanzania. K Stands for Kenya.

Check wanaume hapa Mercedes-Benz

View attachment 3075722
You have a very poor grasping and understanding. The bus was sold by a Kenyan dealership so lazima tu ikuwe na letter K. Ingekuwa hiyo bus imeuzwa na Tanzanian body builder ingeandikwa TD. I wonder how you used to survive in School with that your thick head😂😂

Jifunze 👇👇👇



View: https://x.com/alasirimotors/status/1746886891692003386?s=19
 
Utajijua mwenyewe. But hatuna takataka kama hizo TZ.

All Plate no in Tanzania start with T
Who said that's a Tanzanian number plate? If the bus is yet to be registered hoe will it have a Tanzanian number plate?
 
Kwanini sasa unalazimisha Bus iwe ya Tanzania wakati haina registration no ya Tanzania? Who told you hiyo bus ni ya Tanzania? 🤣 🤣 🤣 🤣
The bus is in Tanzanian border ikiingia Tz. Basi za China zinakujanga Tz zikiwa na Tanzanian registration number?🤣🤣😂
 
The bus is in Tanzanian border ikiingia Tz. Basi za China zinakujanga Tz zikiwa na Tanzanian registration number?🤣🤣😂
Kwani basi zinatoka china zikiwa zinaendeshwa? Kwahiyo imenunuliwa na ikaingia Tanzania ikiwa na Plate no za Kenya?

** Stupid Kenyan.** 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Nenda kajifunze kwanza mambo ya Ushuru na Transportation. Hiyo Gari ikipata ajari who is responsible?
 
Hatuna Taka taka kama hizo hapa Tz.

Sisi tupo Dunia nyingine kabisa.
KilimanjaroExpress Marcopolo G7

View attachment 3075724

Left frame: 'Built in Kenya'
Right frame: 'KD' Kenya number plates.

Case closed.

ke.JPG
 
The cars are unregistered, Einstein.
That's why they have the temporary KD number plate.

Mnunuzi atango'a hizo akipata number plates official za Tanzania.
Has nothing to do with Tanzania. Hizo Number hazihusiani na Tanzania. Are temporary in Kenya but not in Tanzania.
Mbona mgumu sana kuelewa.

Tuoneshe Bus ikiwa na plate no za Tanzania.

Stupid Kenyan​

 
Has nothing to do with Tanzania. Hizo Number hazihusiani na Tanzania. Are temporary in Kenya but not in Tanzania.
Mbona mgumu sana kuelewa.

Tuoneshe Bus ikiwa na plate no za Tanzania.

Stupid Kenyan​


Please explain, kwa nini mabasi mapya, yameandamana Namanga?
Temporary number plates na bila wasafiri.

Tweleze kama hii si delivery kwenda kwa customer bongo, ni nini?
 
Back
Top Bottom