Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Sisi hatubagui yoyote mwenye uwezo atacheza Tanzania ambayo ndiyo ndoto ya wachezaji wote EA, kwasasa tunawakaribisha wanawake kutoka mataifa yote duniani kuja kukuukuza mpira wetu wa wanawake lkn sio wanaume mana kwa wanaume cku hizi tunachukua ma MVP tu kutoka ligi tofauti Africa na ligi nyingine duniani, nyie wakenya kwa sasa tunachukua wanawake tu mana kwa upande wa wanaume hakuna nafasi kwa sasa.
 
Sisi hatubagui yoyote mwenye uwezo atacheza Tanzania ambayo ndiyo ndoto ya wachezaji wote EA, kwasasa tunawakaribisha wanawake kutoka mataifa yote duniani kuja kukuukuza mpira wetu wa wanawake lkn sio wanaume mana kwa wanaume cku hizi tunachukua ma MVP tu kutoka ligi tofauti Africa na ligi nyingine duniani, nyie wakenya kwa sasa tunachukua wanawake tu mana kwa upande wa wanaume hakuna nafasi kwa sasa.
Hakuna wakenya kwa timu zenu za kiume?? Tupe heshima yetu ama tuchukue kwa nguvu 😂😂😂
 
Hakuna wakenya kwa timu zenu za kiume?? Tupe heshima yetu ama tuchukue kwa nguvu 😂😂😂
Tanzania ipo na timu zaidi ya 32 zinasajili wachezaji kutoka nje.
  • Ligi kuu timu 16
  • Ligi daraja la Kwanza timu 16

Kama kila timu inasajili wachezaji 24 tunawachezaji zaidi ya 768.

Tukiwa na wachezaji 7 kutoka Kenya kuna shida yoyote?
 
Kama form one hajui basic English, na huyo ndio anafaa kua graduate in a few years. 🤣 🤣 🤣 Uswazi hamna maghorofa, pengine zile vyoo na bafu bila paa ndio zinaweza anguka.
Kwahiyo graduate asiyejua english sio graduate according to you na unataka kutuaminisha kuwa graduates hapa duniani ni english speakers tuu🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂

Look at you, eti walianzia Kenya.
What we should say about Kilwa?

Why the hell hamuongei kiswahili fasaha?

It's like claiming English ilianzia kwenu while British wanaongea kiingereza fasaha.

If am correct nyie ndio mnatudiss about Swahili mara ni lugha ya waarabu leo ni cha Waswahili wa Kenya.

Kenya yenye broken swahili iwe origin like seriously?
Hawa nyangau hakuna lugha wanayoijua zaidi ya Luo na Kikuyu hizi nyingine zote wanaungaunga tuu 🤣🤣🤣
 
Kwahiyo graduate asiyejua english sio graduate according to you na unataka kutuaminisha kuwa graduates hapa duniani ni english speakers tuu🤣🤣🤣🤣
Graduate kutoka kwa English curriculum Kama hajui kiingereza sio graduate.
 
What's Tanzania good at?

Wamelambwa tena na shule ya Kenya. Form 1-3 inanyorosha wababa wa Form 5-6😂.

1724251768745.jpg
 
Form 1 hawajui kiingereza na hio lugha inatumika kwa high school and university exams. 🤣🤣🤣🤣 Enyewe ndio kwa maana mafala bongo ni wengi.
Mzee issue za kingereza ni mambo ya kitoto. We did that during colonial era.

Tunajua Jomo Kenyatta Did not have enough education. Kafa ovyo na kuacha ujinga wa kikoloni Kundustan 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Vital issues wakenya huwaoni. Wapo kwenye trivial issues

View attachment 3075548
Kushindana na wenzenu imewashinda Sasa mmeamua kuenda kusumbuana na watoto wanakula indomie na Sossi. Those Chinese kids have no energy to compete with Tanzanian kids raised on porridge and Cassava 😂😂.

Rudini East Africa munyoroshwe na watoto wa Kenya na Uganda😂😂
 
Mzee issue za kingereza ni mambo ya kitoto. We did that during colonial era.

Tunajua Jomo Kenyatta Did not have enough education. Kafa ovyo na kuacha ujinga wa kikoloni Kundustan 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Exam munafanya kwa kiingereza na wengi wenu hawakielewi. Your education system is trash.
 
Kushindana na wenzenu imewashinda Sasa mmeamua kuenda kusumbuana na watoto wanakula indomie na Sossi. Those Chinese kids have no energy to compete with Tanzanian kids raised on porridge and Cassava 😂😂.

Rudini East Africa munyoroshwe na watoto wa Kenya na Uganda😂😂
Endeleeni na mashindano cheap. Tanzania deals with Profitable tournaments
 
Back
Top Bottom