Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Miaka wa uchaguzi hii.. anarudisha wenye ushawishi barazan..
it is too late, watu tumeshapanga mipango yetu

View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1823791396790395348?t=E6RY1wxQ3QTtLfzHNlDegg&s=19
Kijana ChoiceVariable unakumbuka hii? huwez kuelewa!

Upuuzi mtupu, huyu mama hatotufikisha popote, kwanza muoga, hakuna aliyemtumbua hata mmoja, mtu kaharibu huku anamuhamishia kule, yaleyale mtu anafanya madudu na haogopi mana anajua atahamishiwa sehemu nyingine, ni kweli sio wote wanaotakiwa kutumbuliwa, ila kwa madudu yaliyopo ndani ya serikali yake kakosa hata mmoja wa kumfanyia mfano?

Kwa mtanzania mwaminifu kabisa na mwenye kujitambua hawezi kumpigia chapuo huyu mama, hafai.
 
Jeans yake ya bei poa, ukiweka kwenye maji dakika tano maji yote yanakuwa blue. Ana fake life kwa kuletea maisha usanii.
Kashamba kweli kweli, alafu kanaonekana ni ka hustler, kamepitia maisha magumu mnooo, mm nakafahamu tangu kipindi kile kanasoma kapo humu kakubwa but it seems kalirudia rudia shule na ndiyo maana kalichelewa kupata kazi, nilikuwa nakaonea kweli kweli mpaka kanaenda ku download pesa mtandaoni nikakaita bwana mapesa, now kamepata kazi ya kuosha vidonda basi kanavimba, kumbe wenzie tulishatoka huko kitamboo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi hili jengo mmiliki wake ni Mtanzania? Kwanza kuna 5-star hotel hapo Bongo inayomilikiwa na Mtanzania?
Usidhani Wakenya ni bongolala kama nyie.

OIP.Nihr88w_OePVhPrzme22DAHaEK
Zote hizi ni five star hotels and lodges na zote zinamilikiwa na mtanzania mmoja, Arusha

images (7).jpeg
images (5).jpeg
images (6).jpeg
images (4).jpeg
 
Kashamba kweli kweli, alafu kanaonekana ni ka hustler, kamepitia maisha magumu mnooo, mm nakafahamu tangu kipindi kile kanasoma kapo humu kakubwa but it seems kalirudia rudia shule na ndiyo maana kalichelewa kupata kazi, nilikuwa nakaonea kweli kweli mpaka kanaenda ku download pesa mtandaoni nikakaita bwana mapesa, now kamepata kazi ya kuosha vidonda basi kanavimba, kumbe wenzie tulishatoka huko kitamboo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uliwai post picha zako humu na sare za watchman alafu unawaita wengine washamba? Unachekesha. 🤣 🤣
 
Hujiulizi Ukunyani ukiwa Mwanasiasa tu ndo unatoboa? Nenda Arusha na Zanzibar uone Watanzania wenye 5 star hotels na si wanasiasa ndo uje ujilinganishe!
Na Bongo lazima uwe Mwarabu ama Muhindi ndio utoboe.
Halafu taja hizo 5 - star na wamiliki tuone.
 
Nyie nyang’au akina Teargas endeleeni kukaza fuvu tu😎😎

View: https://m.youtube.com/watch?v=YF0UuhznTGs

wanaenda choo kwa hisani ya lazy Tanzanians! wamejikuta hawana pa kuagiza maize zile kelele za sijui kuwa na mashamba DRC zimeisha! Sijui kuagiza Zambia na Malawi wamekuta Zambia na Malawi wanaagiza Tanzania pia!


View: https://x.com/HabariLeo/status/1823727729998758286


View: https://x.com/DMMUZambia/status/1823260607560212592


View: https://x.com/MAD4safari/status/1823714312306794631


View: https://x.com/TAZARAHQ/status/1823684615007027499


CC: Wachawi Rhaenyra Targaryen NairobiWalker Teargas n mwathadan mpo?
 
Back
Top Bottom