ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,418
- 88,511
Yes this JKIAJKIA handles double of what all airports in Tanzania handles😂😂
Ruto kautumia ukabila wa nyang'au vizuri kuvunja vunja harakati za gen zii😎😎Ukabila pro max,niliwahi kusema,Gen-z waliandamana Kwa sababu kwenye Cabinet Kuna makabila yalikosa kwenye uteuzi,na huu ndio ukweli.
View attachment 3070201
Miaka wa uchaguzi hii.. anarudisha wenye ushawishi barazan..Nakupa airtime ya mwisho. Endelea kujifurahisha.. mana hata hujui chochote, unajichekesha tu
Ukiondoa hao watu pamoja na Majaliwa, Ndugai, Lukuvi, Prof Kabudi, mama anabaki na watu gani wa kumpa nguvu?
Wakina Slaa, Ndeleji na Mavunde ndo watampa nguvu?
Baraza la mawaziri wenyewe wengi tu hawamtaki kama Prof Mkumbo, Jafo, Ummy Mwalimu na Bashe
Na CCM yenyewe ina watu, mama pamoja na Urais au uwenyekiti wake hawawawezi hata kuwadindia. Wao wakiamua mama kutogombea tena, mama hana uwezo wa kuwapinga
Nani kakuambia tuna chuki na america ww doordash?I thought you guys hate America or is it great only when it recognizes you?… hamna musimamo..🤣🤣
Miaka wa uchaguzi hii.. anarudisha wenye ushawishi barazan..
it is too late, watu tumeshapanga mipango yetu
View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1823791396790395348?t=E6RY1wxQ3QTtLfzHNlDegg&s=19
Kijana ChoiceVariable unakumbuka hii? huwez kuelewa!
😂😂😂😂
View: https://x.com/Herstory104/status/1823690650174234692?t=wC1wdYXbEUHoDkiRfz2n-g&s=19
View: https://x.com/Obiri_jokeman/status/1823603001929687355?t=BA0Ku7yKQ4Nwqap12K4foQ&s=19
View: https://x.com/jose_mwz/status/1823603619289018496?t=zr8vEvaKi2KLQ1DfJigjfg&s=19
View: https://x.com/KuSammy3/status/1823607678439923730?t=sVK_nW1TfwVi9rAWsXfG8w&s=19
View: https://x.com/ItsPaul254/status/1823604238200492502?t=LQDUt5AG5DQSagRNJuKiLw&s=19
View: https://x.com/welneverknow/status/1823606863813894557?t=fRe28NW9iz58JNTp4acFNA&s=19
View: https://x.com/MrRightke/status/1823602665160413687?t=ISe2OMmKkH2c22fULANXBA&s=19
View: https://x.com/Wangeci69/status/1823605952177701223?t=K-FBYsTqcSCLFLFAugeg5g&s=19
View: https://x.com/jacindunge/status/1823611509542408564?t=HHlP83iABGEYKQgH8fhHXw&s=19
Hizo ni basi zimeundwa na Master. Fabricator wa Kenya.
More of Master Fabricator.
View: https://x.com/ScaniaEA/status/1822951258975789510
View: https://x.com/ScaniaEA/status/1819370867937116215
View: https://x.com/ScaniaEA/status/1813824166250123704
View: https://x.com/ScaniaEA/status/1811465441883087346
View: https://x.com/ScaniaEA/status/1798062792047820942
Yeah.Hivi hizi buses zenye seating arrangement ya 3x2 bado yapo Kenya?
Kwahiyo kila mchezo ni lazima kupewa medali? We ndiyo maana ulishindwa kuondoa ma slums ya Nairobi kutokana na akili zako mbovu, tangu lini sarakasi usiwe mchezo?Alafu wanapewa medali wakimaliza? Have you ever heard of something called a reality show?
Olympic kubwa kwenye mambio na michezo mingine ya kimaskini like mambio ya mita 1000000000 lkn sio michezo makini kama soka.Utawaskia wakisema America Got Talent ni kubwa kuliko Olympics. 🤣 🤣
Umejjfungia hapo Tandale unafikiri life begins and ends in Dar
View: https://youtu.be/bUYoLBEc2KU?si=NYi_h5SyvZje5HnT
View: https://youtu.be/olrOZzJYYP4?si=ymXWCqTT2W3LI0VJ
Olympics ndiyo nn? Kwanza sijui hata ratiba yake, incase you don't know, watanzania wengi hawana habari yoyote kuhusu olympic na hawafuatilii, yn uniweke kwenye TV niangalie mita 500000000000, hell no.Wababe wa michezo with zero medals from the Olympics🤣🤣🤣🤣
Continue consoling yourselves and licking your wounds
Kama huyo ni mshamba, huyu bibi titi tumuiteje 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo ni mshamba asikusumbue 😂😂🤣