chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,122
Kunyaland inadharaulika kweli, Rais kapandishwa ngarangara na mmeachiwa wenyewe mjifungulie mlango, diplomatically inaongea thousand languages hii
Huyo kaweka kikapu chake kwanza chini afungue hilo ndinga kama la Polisi au kama lile la mwenyekiti ichoboy01 anaenda kuwindia 😂😂😂Kunyaland inadharaulika kweli, Rais kapandishwa ngarangara na mmeachiwa wenyewe mjifungulie mlango, diplomatically inaongea thousand languages hii
View attachment 3067741View attachment 3067742
Hizi ni apartments? 😁Kuongea na poverty stricken minds ni shida tupu. Uko na umaskini wa pesa na wa akili pia malaya hii.
What’s this😂😂🤣👇👇
View attachment 3067499
View attachment 3067500
View attachment 3067501
Tuambie nyinyi mmebeba ngapi and which African country ilibeba zaidi ya kenyaWakenya kuchukua gold medal nne utasema wamebeba dunia nzima 😂😂
Tupe hapa international flights zinazotua Wilson tucheke kidogo hatujacheka muda humu ndani 😁Wilson airport is busier than any airport in Tanzania.
Kuna msanii kumshinda Bien Baraza hapa EAC?
View: https://x.com/AvStatsData/status/1819184114349572302
MY TAKE
Naiona Mombasa-Nairobi route at no 6 behind Dar-Znz and Arusha-Znz!
CC: Teargas
Which sport is "upuuzi mtupu"?Upuuzi mtupu.
Mko number ngapi kwenye FIFA ranking?🤣🤣🤣Anajisahaulisha huyo kuwa Tanzania ni taifa linalokua kimpira wa miguu.
Tukihesabu Winifred Yavi tunafika 5 gold medalHata sisi huwa tunachukua hizi medals za Olympic 😁
Meet Tanzanian Malaika who lightens German in Paris - Daily News
PARIS, FRANCE: MALAIKA Mihambo put up a battling defence of her Olympic long jump title but the German had to give way to Tara Davis-Woodhall from the United States on Thursday evening. Davis-Woodhall was the only jumper to surpass the seven-metre line, taking the lead in the second round with...dailynews.co.tz
Says Mlamba mavi ya wazungu aka major non NATO ally 🤣🤣🤣🤣Kama Kuna vikaragosi vya wazungu hili eneo ni Tanzania. Huko kwao rangi nyeusi ni sura mbaya Ndio maana dada zao wote wameingia kwenye mikorogo. Kuna Mnigeria mmoja pale YouTube anaitwa Nwache, aliitembelea Kenya akaishi Nairobi alafu akaenda bongo akaishi Dar. Alikiri wabongo wanawashobokea wazungu sana. Ndio maana utawaskia Kila mara wakisema ooh mnacopy wazungu. Inaitwa projection.
Upuuzi mtupu.Which sport is "upuuzi mtupu"?
Nasikia wasanii wa kinyang’au ni bora dunia nzima, sio EAC tu; ha ha ha.Kuna msanii kumshinda Bien Baraza hapa EAC?
Hapa Bongo Kuna wasanii mamia wanaoimba kuliko huyo Bien, sty yake ya uimbaji haina Soko .Kuna msanii kumshinda Bien Baraza hapa EAC?
Kwani siku hizi kuna Kumbe la kufika robo finali?😂😂🤣Kombe la hadhi ya tatu!???
Hivi unajua aliyefika robo fainali Uefa champions league ni bora kuliko aliyebeba Uefa conference league!??
Yani lile kombe lilikuwa la timu za ligi daraja la kwanza sio timu za ligi kuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂.