Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimekwambia kuliko uonekane juha.. kas chini wewe na kuongea ukweli mmalize tofauti zetu 😂😂😂😂 mana unaonekana kiazi mbatata 😂😂😂
Mbona wewe usikae chini na umaskini mmalize tofauti zenu?😂😂
 
Miaka ya 2010’s Wabongo wengi walikua hawawajui Wakundustan, Siku hizi wanawapa tu za Uso live bila chenga.


IMG_2714.jpeg
 
Kama vile JKIA alivopewa adani 🤣🤣🤣🤣
Ukipata penye Adani alipewa JKIA nitag tafadhali😂😂🤣.

Ama unadhani Kenya ni Tanzania yenye iliuzia Adani Dar Port?😂😂
 
Back
Top Bottom