Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 3066887
Hili jengo ni upgrade nzuri kulingana na kile kijengo cha zamani ila wangeweza kuja na design nzuri zaidi. Mbona masoko na vituo vya mabasi vilikuwa innovative (mfano Ndugai, Magufuli, Magomeni, Dodoma... ).
Kaka kwa Arusha inatosha Sana tena wamejitahidi Sana maana Arusha ni kiwanja kidogo Hasa kwa small aircrafts nimeskia SASA hvi bombardier zitaanza kutua hapo
 
Hakuna penye mnakwama, Tanzania is just a country with lazy people๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

1723381117926.jpeg
 
Hawana chakufanya wajinga hao wanachoma nchi Yao alaf hakuna kitu wamefanikiwa ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Nilimuona kiongozi aliyedai hajali kifo akikimbia mapolisi kama vile alikuwa kule olimpiki, ha ha ha๐Ÿ™‚
 
Ingekuwa ni mbwa za vumbistan ungeskia " wakenya wanatuibia mchezaji wetu Duke Abuya serikali yetu iingilie hili jambo" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡
View attachment 3066701
Mnajivunia mchezaji wenu kucheza Yanga wapuuzi nyie badala mpambane ligi yenu iwe bora wachezaji walipwe vzr mnafurahia matunda ya wenzenu.
 
Back
Top Bottom