Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona unatetea simu yako. By the way why would you say ViVO is better than Google Pixel? Ushaitumia Google pixel before?๐Ÿ˜‚
Niliwahi itumia ya mtu kwa muda baada yangu kuharibika.
Ila mimi natumia OPPO A52.
Vivo pia niliwahi kuitumia tena mwisho mwaka jana tu nilitumia vivo x90.
Huwezi linganisha Google na hizo simu.Hata ufanyaji wake kazi wa soft ware huwezi linganisha.
 
Wenzio wanaona sifa kusema ardhi kwao ni gharama, yn mtu upo kwenye nchi yako na huwezi kumiliki ardhi na unajisifia, wakenya ni wasenge sn aiseee, ndiyo maana huwa nasema waache wafe na waendelee kuwa na maisha magumu.
Hasira za watchman peleka mbali. Jinga hii.
 
SGR 2024 data in comparison to 2023. Revenue keeps on rising.


Up to June SGR has already made Ksh8.5B

Image
 
Ni buffallo44 aliyesema Kenya ni matajiri pekee walio na uwezo wa kununua shamba, ila huo sii ukweli maanake Kuna sehemu wambazo watu wa kawaida wanaweza afford kununua. Na pia hapo Dar Kuna sehemu mtu wakawaida hawezi afford kununua shamba.
Sio shamba punga wewe tunaita ardhi, huko kwenu ushasema maskini hawezi kununua ardhi, baki humo.
 
This statement clearly shows hujaiitumia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Ni lini Uliitumia?
Nimeitumia mwanzo wa huu mwaka kabla sijanunua hii Oppo A.
Nilitumia kama two months hivi ndio March nikanunua OPPO.
Nilitumia Google pixel 4 yenye android version 10,main camera 32 megapixel na single selfie camera ni 16 megapixel kama sijakosea.
ROM 6gb na internal storage 64gb.
 
Ushamba mwingi bro,pixel 7pro nayo simu ya kumtambia mtu kweli!
Wakenya wengi humu hawana simu nzuri, ndio mana hawapigi picha kwa simu zao, huwa wanachukua picha za mitandaoni, kuna waliojaribu kupiga picha kwa simu zao zikachekesha sn, so wakinunua simu mpya lazima wapost humu, hawa jamaa ni mafukara mnooo.
 
Iโ€™m using Apple Ipad 9th Generation. Can you afford that? Ama lazima uuze shamba la ukoo wako ndio uweze kuinunua?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Unatumia simu gani wewe.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚swali ni gumu.?
 
Wakenya wengi humu hawana simu nzuri, ndio mana hawapigi picha kwa simu zao, huwa wanachukua picha za mitandaoni, kuna waliojaribu kupiga picha kwa simu zao zikachekesha sn, so wakinunua simu mpya lazima wapost humu, hawa jamaa ni mafukara mnooo.
Google pixel ni nzuri katika camera.
Kwenye Camera naweza sema WAMEUPIGA MWINGI.
Ila katika ufanisi wa soft ware bado bro Yani ni mtoto katika hizo simu za hapo juu Samsung,iphone,Oppo,xiamo,vivo,Huawei.
Hizo simu bro achana nazo.
Tena kama Huawei nunua p20 tu uone shughuli yake.
Na kama Oppo nunua A17 tu uone mbilinge bayoyo lake.
 
Iโ€™m using Apple Ipad 9th Generation. Can you afford that? Ama lazima uuze shamba la ukoo wako ndio uweze kuinunua?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Oooh, and remember itโ€™s not refurbished kama zile zako.๐Ÿ˜‚
Check out the price ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
IMG_0678.png
mkundu wa mbwa wewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚check out the price for my phone ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
IMG_0679.png
 
Check out the price ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐ŸพView attachment 3065587mkundu wa mbwa wewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚check out the price for my phone ๐Ÿ‘‡๐ŸพView attachment 3065589
Umezoea refurbished phones za bei rahisi unadhani wote wanatumia vitu cheap kama wewe. Remember you are using a refurbished phone ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Umezoea refurbished phones za bei rahisi unadhani wote wanatumia vitu cheap kama wewe. Remember you are using a refurbished phone ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwa thamani ya simu yangu nanunua hiyo takataka 2 of them.
 
Back
Top Bottom