Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shujaa Mall Kilimani
20240809_160754.jpg
 
Ni buffallo44 aliyesema Kenya ni matajiri pekee walio na uwezo wa kununua shamba, ila huo sii ukweli maanake Kuna sehemu wambazo watu wa kawaida wanaweza afford kununua. Na pia hapo Dar Kuna sehemu mtu wakawaida hawezi afford kununua shamba.
Aanhaa sawa nimekupata.
Japo bei yetu ya juu sidhani kama inafika bei yenu ya juu.
Ardhi ambayo kwenu ni bei rahisi kwetu ni bei rahisi zaidi.
 
Nairobi Skyline, no other city can rival this skyline in East, Central and Western Africa.


Misty Spring (in green net) a 30 floor building coming up next to GTC. On the furthest end is Upperhill with 3 tall buildings under construction, 88 Nairobi (48floors), Altura Tower (33 floors) and Habitat tower (24floors).

e

Image



Image
 
In performance vivo iko juu kuliko Google pixel.
Vivo ni simu ya 5 miongoni mwa simu bora zenye ufanisi duniani baada ya Samsung,iPhone,Oppo,Xiamo.
Naona unatetea simu yako. By the way why would you say ViVO is better than Google Pixel? Ushaitumia Google pixel before?😂
 
Basi mna maisha bei ghali sana.
Tanzania ardhi ni kitu cheap kwa asilimia kubwa.
Huko kwenye ardhi bei kubwa ni sehemu za CBD na kwingine ambako miji ishajaa,na hununui ardhi kama ardhi yani labda ununue jengo uvunje upate ardhi.
Ila ardhi kama ardhi AISEE Tanzania ni bei rahisi.
Tunajivunia kwa hilo.
Wenzio wanaona sifa kusema ardhi kwao ni gharama, yn mtu upo kwenye nchi yako na huwezi kumiliki ardhi na unajisifia, wakenya ni wasenge sn aiseee, ndiyo maana huwa nasema waache wafe na waendelee kuwa na maisha magumu.
 
Back
Top Bottom