ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tazama wadhamini wangap hapo 🤣🤣🤣Kwa hisani ya EQUITY BANK. Wote Simba na Yanga Mdhamini mmoja 😂
Lini mutafika level hii labda dunia ifike mwisho mamaaee
Tazama wadhamini wangap hapo 🤣🤣🤣Kwa hisani ya EQUITY BANK. Wote Simba na Yanga Mdhamini mmoja 😂
Mimi siongelei track, hizo hata Voi station iko na tatu😂😂🤣🤣.
I’m talking about this scenario where passengers can board and offboard from two or three trains at the same time.
View attachment 3059981
Ntakujibu dodoma inaweza handle train mbili wakat mmoja, moja inashsha na nyingine wanapanda then wale wanaoshuka watapita underground kutoka kwenye jengo, kila mara tunapost video za dodoma ww hua unakua wapi??😅😅😅Mimi siongelei track, hizo hata Voi station iko na tatu😂😂🤣🤣.
I’m talking about this scenario where passengers can board and offboard from two or three trains at the same time.
View attachment 3059981
No ndani ya jengo kuna track nyingine inajengwa hapo achana na Ile inayofanya KAZI SASA hvi hio ya nje ni kwa ajili ya train ambazo hazisimami station kabisa, na hio track itakua ni kwa ajili ya offloading passenger na watatokea underground kutoka nje ya jengo na video kibao tushapost hapa ww hua unakua wapi???According to Ichoboy trains will be stopping huku nje kuload or offload passengers🤣🤣😂😂
Passengers will the walk over the rail tracks hili waingie ndani ya terminal building🤣🤣😂😂
View attachment 3059982
Hata Voi inaezahandle trains tatu kwa wakati moja😂😂🤣.Ntakujibu dodoma inaweza handle train mbili wakat mmoja, moja inashsha na nyingine wanapanda then wale wanaoshuka watapita underground kutoka kwenye jengo, kila mara tunapost video za dodoma ww hua unakua wapi??😅😅😅
Tazama hii video ujifunze kitu ambacho hamujawah kua nacho hamutakua nacho mpaka kiyama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata Voi inaezahandle trains tatu kwa wakati moja😂😂🤣.
Issue here is can those two trains offload and load passengers at the same time in that Station?😂😂🤣
So ndani la jengo watu watakuwa wanashushwa upande mwingine then the walk through the track chini Alafu ndio wapande the boarding platform and finally inside the terminal building?😂😂😂🤣🤣No ndani ya jengo kuna track nyingine inajengwa hapo achana na Ile inayofanya KAZI SASA hvi hio ya nje ni kwa ajili ya train ambazo hazisimami station kabisa, na hio track itakua ni kwa ajili ya offloading passenger na watatokea underground kutoka nje ya jengo na video kibao tushapost hapa ww hua unakua wapi???
Tazama hii video ujifunze kitu ambacho hamujawah kua nacho hamutakua nacho mpaka kiyama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View: https://youtu.be/9zaYtCNFQ-Y?si=vLBXicIQmS0tX0Db
No wakishuka wanashuka kwa under ground upande huo huo wanaoshuka kitu ambacho hamutakua nacho mpaka kiyama 🤣🤣🤣So ndani la jengo watu watakuwa wanashushwa upande mwingine then the walk through the track chini Alafu ndio wapande the boarding platform and finally inside the terminal building?😂😂😂🤣🤣
No wakishuka wanashuka kwa under ground upande huo huo wanaoshuka kitu ambacho hamutakua nacho mpaka kiyama 🤣🤣🤣
View: https://youtu.be/7g8eC9wDIuc?si=_q2f9SGV1aC6DWtW
Nimeshika vzr kijampio 🤣🤣🤣🤣Kitu gani cha kujifunza when your stations can’t accommodate two or three trains at the same time😂😂🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sizungumzii tunnel za kwenye milima ambazo Sisi tunazo nne nazungumzia train station mzeeUnderground tunnels zenye Tuko nazo kwa Nairobi Commuter rail ndio unatupigia kelele?🤣🤣🤣😂
Hiyo commuter yenyewe sasa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Underground tunnels zenye Tuko nazo kwa Nairobi Commuter rail ndio unatupigia kelele?🤣🤣🤣😂
Azam inafanya nini huko ukunyan?Wakenya wanacontrol the sporting events of that country. Another Kenyan company approached by those poor souls😂😂👇👇
View attachment 3059916
Bwana watchman kwani umesahau vile ulisema ati nisipewe credit?🤣🤣😂😂 Why are you again giving me credit?🤣🤣😂😂Hiyo commuter yenyewe sasa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 3059985View attachment 3059986
Wakenya fake sn aisee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wakenya hawana akili aiseee, hapa abiria wanashuka chini baada ya kutoka chini wakapanda juu alafu wanashuka tena chini kupanda diesel train 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi siongelei track, hizo hata Voi station iko na tatu😂😂🤣🤣.
I’m talking about this scenario where passengers can board and offboard from two or three trains at the same time.
View attachment 3059981
Something like that you will never see kwa hile SGR yenu inakwama msituni mara kwa mara🤣🤣🤣😂😂Wakenya hawana akili aiseee, hapa abiria wanashuka chini baada ya kutoka chini wakapanda juu alafu wanashuka tena chini kupanda diesel train 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3059990
Video ya 2022 inaonyeshe double stack😂😂🤣🤣👇👇👇
View: https://youtu.be/xXdpFpDqng8?si=rOP9RG8RxeasILtX
Sasa article yenye mmeweka hopes zenu ndio hii hapa ni ya 2021😂😂🤣🤣👇👇👇
![]()
Kenya Railways Corporation cancels double-stack freight due to poor volume
KENYA Railways Corporation has stopped operating double-stack trains from the Port of Mombasa to Nairobi because of a significant drop in cargo volumes.www.railjournal.com
Ebu tafuta hiyo comment uweke huku😂😂🤣🤣.Ulishasema iwapo reli ya umeme ya TZ ikifika km 200 unajitoa jf,kitu kishakuprove wrong now unakaza fuvu na argument zingine za kipumbavu kuhusu cargo,tukikuambia ww ni chizi uwa tunamaanisha