Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmepata cha kuongeza mnasahau kuwa kila suluhisho hupatikana kwenye changamoto.No one expected it to happen na inapotokea ndio suluhisho jipya huja.
Mtajua kwa nini America USA na China bado wanatumia diesel trains
 
Kenyatta Avenue Nairobi under Gen Z
20240731_192724.jpg
 

AK 47 ipo hivi 👇 👇 👇

View attachment 3057833
Zinazoonekana kwenye Video ni hizi hapa. 👇👇👇 Hebu nioneshe AK 47 hapo

View attachment 3057831


View attachment 3057834
Newly formed Kenya Navy Marine Commando unit undergoing vigorous training under UK Royal Commandos and US Naval Special Warfare command…. These are soon to be the Kenya Navy Seals…
IMG_4230.jpeg
 
Newly formed Kenya Navy Marine Commando unit undergoing vigorous training under UK Royal Commandos and US Naval Special Warfare command…. These are soon to be the Kenya Navy Seals…
View attachment 3057913
Mambo ya USA na UK tulishayasikia miaka na miaka na uovu walioifanya kwenye mataifa mengi waliokuwa upande wao. Mfano Iran, Afghanistan nk.

Habari ya mjini ni China and Russia.
 
ndiyo maana wametuzimia umeme dadeki, the world has never seen this, 100% black, electric train full of black people in a 100% black man’s country, lazima watuhujumu tu, tuko mbele ya muda …
Hamna hujuma yoyote,ile ni kawaida hata kwa wenzetu na shida aikua kukatika kwa umeme ni zile cable za juu ndio zilizoleta shida
 
Hiv kwa nini watu wanafurahi sana mambo yakiharibika....hata waandishi wa habari wanapenda habari mbaya mbaya kama hizo. Sijaona hata mwandishi mmoja akifanya full tour ya hizo treni za umeme ukiachana na Private YouTubers kama Explore with Bertin, mkenya macharia nk...vyomba vya habari vikubwa hata kutumia Dk ishirini kufanya full coverage ya treni hizi utasearch hutapata zaidi ya kuona wanasiasa tu wanaongea kwa mdomo. Hawaonyeshi hata treni inafananaje

Hii roho ndo inazuia waafrica tusiendelee...umaskini ni mbaya sana aisee. Na kuundoa tunahitaji Exposure na akili kubwa kuanzia kwa Viongozi wa juu

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1818725738595709397
 
Back
Top Bottom