Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Okay naona umefurahi eeh! Isave kabisa iwe inakusaidia kulala vizuri.
Are Tanzanians wild animals? Why are they sleeping in the bush?

1722427067646.jpeg
 
Maria Sarungi sometimes ni kama Hana kazi za kufanya.
Huyo dada kipindi cha jk alikua miongoni mwa watoto wa wakubwa waliokua wanapewa kipaumbele,tena 2015 alikua mpiga kampeni wa magu akitegemea atawabeba,magu alipoingia ikawa tofauti tena akakifungia kitaasisi chake kilikua kinaitwa twaweza,toka hapo akawa mpingaji
 
Huyo dada kipindi cha jk alikua miongoni mwa watoto wa wakubwa waliokua wanapewa kipaumbele,tena 2015 alikua mpiga kampeni wa magu akitegemea atawabeba,magu alipoingia ikawa tofauti tena akakifungia kitaasisi chake kilikua kinaitwa twaweza,toka hapo akawa mpingaji
Ni haki yake kulia kama amekanyagwa,ni haki yake kukosea lakini too much is harmful na boring
 
Kwanza we kijana hiyo train hapo inaonekana something advanced kama jiji kabisa.

Ukute roho inakuuma mpaka unalinganisha sakafu like seriously.

Pole, ila SGR ipo ipo sana
Kitu advanced haikwami porini🤣🤣🤣😂👇👇

1722428380680.jpeg
 
Nilimaanisha kushirikishwa ili wafanye advance uses, tuache kuexport steel bali kila steel products itokee nyumbani.
Ukiisoma Document inaeleza kuwa Iron ore itazalishwa 1 Million tone na itasaidia viwanda vya ndania. Inaeleza kwa sasa viwanda vinatumia recycled. Cost of $135.00 for iron ore per tone.
$135.00 x 1,000,000 = $135,000,000 (Hii siyo pesa kidogo )

Hao wanao produce Steel watapata kutoka huko. Na zingine zitauzwa nje.
 
Back
Top Bottom