Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

China and Tanzania have become very nervous about Kenya joining non- NATO ally status … next will be a Chinese PLA base in Bongo… mark my words…
We mbwa unajua hapo ni miaka 60 wanafanya hivyo?

Kajielimishe, ni kila mwaka.

Does world revolve around you guys maana mnajipa umhimu kwa kila kitu.
 
It’s not a priority for me.. but at least you know to do research before posting mítumba vehicles ka washamba … you lack exposure and it always shows…
Look like unasoma soma tu, I didn't bring it, but nilivyoona unaleta maneno ndio nikakupoint nunua si rahisi, or piga picha your car tuone kweli unaongea.

Badala yake maneno mengi, kuna tofauti gani sijui mna strongest currency in EA ila mnashindwa afford vitu basic kama unga hadi uwekewe Ruzuku?

TALK THE WAY YOU WALK AND WALK THE WAY YOU TALK.
 
Kwani ni uongo kwamba Kenya train carry three times the number of passengers your trains carry? Ama 304,000/100 ni ngapi?😂😂
Safari trains do carry more pasengers and are sluggish but slick trains do carry fewer pasengers and are fast.

Dunia imeshahama kutoka kubeba abiria wengi kwa treni moja. Sasa hivi kwa developed countries trains are short high speed and have higher frequencies.
 
Safari trains do carry more pasengers and are sluggish but slick trains do carry fewer pasengers and are fast.

Dunia imeshahama kutoka kubeba abiria wengi kwa treni moja. Sasa hivi kwa developed countries trains are short high speed and have higher frequencies.
Si juzi tu hapa ulisema train ya Tanzania inabeba watu wengi kuliko ya Kenya? What changed after umeona the real evidence ?🤣🤣😂
 
The only SGR train that doesn’t stall in the wilderness.

1722500741596.jpeg
 
Back
Top Bottom