El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Lol....Tanzania kwa hadithi...hamshikiki tumewazoea....kawaulize baada ya hapo kilitokea nini![]()
![]()
Hata military ya Uganda na Burundi are better than yours
Lol....Tanzania kwa hadithi...hamshikiki tumewazoea....kawaulize baada ya hapo kilitokea nini![]()
![]()
hakuna aliyekasirika .....kiukweli nyie hamna uwezo.... mmelegea sana wakenya![]()
sasa unakasirika ndugu...sio mimi niliyeandika article ile...😛😛😛![]()
Kenya ranked East Africa’s most powerful military force
hebu tuwape Kenya Police wapambane na tanzania army...😀😀dakika mbili tu tushawamaliza hawa washamba



labda kwa kuturushia mawe kama mnavyofanya kwa wafuasi Wa Raila..haya basi tutawapa Administration police wapambane nanyi sababu KDF sio wa kupambana na upuuzi...hao wako level ingine...hakuna aliyekasirika .....kiukweli nyie hamna uwezo.... mmelegea sana wakenya
Lol....Tanzania kwa hadithi...hamshikiki tumewazoea....
Hata military ya Uganda na Burundi are better than yours
nakubaliana na hilo.....kazi nzuri..

labda kwa kuturushia mawe kama mnavyofanya kwa wafuasi Wa Raila..
sawa boss tutashukuru.....maana mnajuwa sana kugawa dozi.....haya basi tutawapa Administration police wapambane nanyi sababu KDF sio wa kupambana na upuuzi...hao wako level ingine...
Uliza ni kwanini huskii chokochoko nchi imetulia km maji ya mtungi
hata vita vya mawe nyie mnawezana kweli?![]()
nchi LDC yenye military dhaifu![]()




Ati jeshi wenu wanapiga summersault ......hahaha.Reminds me of maji maji rebellion where some idiots believed that magic water would cushion them....hahaha.hii ujinga ilianza kitambo kwa mababulabda kwa kuturushia mawe kama mnavyofanya kwa wafuasi Wa Raila..
achana nao hawa watoto wakikenya niwashamba hawajui historia ......Kenya ni changa sana....tunabishana na vilaza ambao hata vita vya nchi hawajawahi kupambana wanaishia kwenye vikosi vya umoja ama vikosi shirikishiUliza ni kwanini huskii chokochoko nchi imetulia km maji ya mtungi
Uliza kilichompata IDD AMIN.. Pamoja na kupewa ma elfu ya wanajeshi kutoka Libya na Gaddafi bado walikiona cha mtema kuni
Ndege ya Libya ile iliyokua ikielekea Uganda ilitekwa hewani ikatua Tz badala ya Uganda..
Ivyo ni vikosi mbali mbali vya kufanya opereshi tofautiAti jeshi wenu wanapiga summersault ......hahaha.Reminds me of maji maji rebellion where some idiots believed that magic water would cushion them....hahaha.hii ujinga ilianza kitambo kwa mababu
Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app

unafkiri kila sehem unatumia Ak47 tu.. Ndo maana jeshi lenu linaporwa vifaa.. Mmeshazoea kujifungia kwenye vifaru/Tanks hamtaki kutoka

wapuuzi sana hawaAhahakama walivyojitapa kwenye daraja letu lile la kigamboni
Vita ya picha imekushinda sasa.unaanza kuandika chang'aa za kichwani kwako.Ati jeshi wenu wanapiga summersault ......hahaha.Reminds me of maji maji rebellion where some idiots believed that magic water would cushion them....hahaha.hii ujinga ilianza kitambo kwa mababu
Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
kwani KDF walikuwa wapi pale westgate,ni kweli kwamba walianza kuiba mikufu na vito vywa thamani badala ya kufanya kilichowapeleka,wakati huo jamaa wameishasepa.
ha haa .....hata marekani inajulikana kuwa ni jeshi bora kuliko yote duniani .....soma leboo nani...sio upuuzi wa watu wanaruka ruka hapa huku wamebana mavi mwilini eti wanajeshi eti...😀😀
Kenya ranked East Africa’s most powerful military force
Na kweli,wanaume wabishi nane tu,walishinda na KDf masaa kadhaa westgate.kabla Kdf hawajabadili zoezi na kuanza kuiba mali za jengo.haya basi tutawapa Administration police wapambane nanyi sababu KDF sio wa kupambana na upuuzi...hao wako level ingine...
ha ha watoke hawajipendi.....Kenyan ni wapuuzi sanaIvyo ni vikosi mbali mbali vya kufanya opereshi tofautiunafkiri kila sehem unatumia Ak47 tu.. Ndo maana jeshi lenu linaporwa vifaa.. Mmeshazoea kujifungia kwenye vifaru/Tanks hamtaki kutoka
![]()
kwa upande wa usalama wanatutia sana haibu hawa wakenyaVita ya picha imekushinda sasa.unaanza kuandika chang'aa za kichwani kwako.
![]()
kwani KDF walikuwa wapi pale westgate,ni kweli kwamba walianza kuiba mikufu na vito vywa thamani badala ya kufanya kilichowapeleka,wakati huo jamaa wameishasepa.
Achana naye mlevi asiyezingatia msosi.ha haa .....hata marekani inajulikana kuwa ni jeshi bora kuliko yote duniani .....
Ila ISRAEL hautoisikia hata kidogo....na haipo hata top 5...haipo...lakini in reallity nchi ya israel ndiyo nchi inayoogopeka kuliko nchi zote...hivyo mmetawaliwa na maneno ya khanga
kweli...kabisa....jamaa ni zero anayejivika kuwa heroAchana naye mlevi asiyezingatia msosi.