Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Onyo kwa wakenya....kwa upande huu msithubutu kujichanganya hata siku moja...kwani mtajuta milele
79942cf544590730ff7afed313d73156.jpg
babb9f09ecc348c2083673375ec7fbc0.jpg
 
naona umewasili mitandaoni..😀😀...hivi nani leo kakukopesha hela za internet bundles?...😀😀inaonekana maisha yamekuwa magumu.
Nimempata manzi mmoja wahuko kwenu Kenya....anajipendekeza kwangu ile mbaya wakati simtaki...

Anatoa tu mabando ya free ya safar com...
 
by the way, vipi kuhusu ndege za bombadier?😀😀 yale mitungi yenu yamo ama mmeamua kubebea chang'aa? abiria wote wanatumia th prid of Africa KQ na Ethiopian airways..
maxresdefault.jpg
hqdefault.jpg
hqdefault.jpg
5Y-KQH-Kenya-Airways-Boeing-737-700_PlanespottersNet_269321.jpg
Ningependa kufahamu umilikaji wenu katika hizi ndege .. Ni serikali yenu ilinunua 100% au mnashare na Kampuni Fulani
 
Onyo kwa wakenya....kwa upande huu msithubutu kujichanganya hata siku moja...kwani mtajuta milele
79942cf544590730ff7afed313d73156.jpg
babb9f09ecc348c2083673375ec7fbc0.jpg
Pwahahahaha...hawa tunawapea tu GSU na Administration Police...Kenya has th toughest military ukanda huu
 
by the way, vipi kuhusu ndege za bombadier?😀😀 yale mitungi yenu yamo ama mmeamua kubebea chang'aa? abiria wote wanatumia th prid of Africa KQ na Ethiopian airways..
maxresdefault.jpg
hqdefault.jpg
hqdefault.jpg
5Y-KQH-Kenya-Airways-Boeing-737-700_PlanespottersNet_269321.jpg
Zile zipo.....zinapambana na hali take ...siunajua tens mdogo mdogo shirika letu linajisongesha lenyewe kiuzalendo zaidi hatutegemei.....watu toka nnje kama nyie...

....kwa sasa kwenye upande Wa anga endeleeni kupeta ila msijisahau ndege sio zenu hizo
 
Ningependa kufahamu umilikaji wenu katika hizi ndege .. Ni serikali yenu ilinunua 100% au mnashare na Kampuni Fulani
ndugu wacha utani..😀😀yale sio mitungi ya chang'aa bana (bombardier) 😀😀
tazama uchafu huu...utadhan ni hizi pipe za simiti zimepigwa rangi ya Tanzanian Airways..😀😀😀
3953347.jpg
38622653291_71280f5eb1_b.jpg
 
Zile zipo.....zinapambana na hali take ...siunajua tens mdogo mdogo shirika letu linajisongesha lenyewe kiuzalendo zaidi hatutegemei.....watu toka nnje kama nyie...

....kwa sasa kwenye upande Wa anga endeleeni kupeta ila msijisahau ndege sio zenu hizo
pwahahaha nani anatumia mitungi haya...si utakwama angani😀😀😀
3953347.jpg
 
angalia ndio hawa watu wanaoiwta wanajeshi eti...jamaa wanakaa ni kana kwamba wamebanwa haja kubwa..😀😀.hebu leta picha za KDF...sio jokes hizi
79942cf544590730ff7afed313d73156.jpg
 
Pwahahahaha...hawa tunawapea tu GSU na Administration Police...Kenya has th toughest military ukanda huu

Kuna picha niliona hata Masela wa yebo yebo Somalia wamewanyang’anya “ your toughest military “ magari.
Ni aibu sana .
 
ndugu wacha utani..😀😀yale sio mitungi ya chang'aa bana (bombardier) 😀😀
tazama uchafu huu...utadhan ni hizi pipe za simiti zimepigwa rangi ya Tanzanian Airways..😀😀😀
3953347.jpg
38622653291_71280f5eb1_b.jpg
Next time angalau tumia 0.00001% ya akili yako.. Hizo zina fly Hapa ndani ya nchi tu na maeneo ya karibu haziend mbali in fact they're more economy kwasababu zinatumia mafuta kidg sana..

Ndo maana tukanunua ndege sita hizo 3 mbili zikiwa cs300 jetliners hizi zitaenda mbali kidogo maeneo ya Africa na Boeing dreamliner b 787-8 ambazo zote zitaingia mwanzaoni mwaka na nyingine June 2018
 
pwahahaha nani anatumia mitungi haya...si utakwama angani😀😀😀
3953347.jpg
Acha wivu.....hiyo ndege iko powa tena sana....maana nyie hamna hata moja bora yetu....kuliko kukaa na mizigo ya wanaume na mkajihisi ni mizigo yenu wakati Hamna chenu
 
Next time angalau tumia 0.00001% ya akili yako.. Hizo zina fly Hapa ndani ya nchi tu na maeneo ya karibu haziend mbali in fact they're more economy kwasababu zinatumia mafuta kidg sana..

Ndo maana tukanunua ndege sita hizo 3 mbili zikiwa cs300 jetliners hizi zitaenda mbali kidogo maeneo ya Africa na Boeing dreamliner b 787-8 ambazo zote zitaingia mwanzaoni mwaka na nyingine June 2018
hasira hasara ndugu😀😀😀lakini mitungi ya kubebea chang'aa usiniletee...sitaki kukwama angani😀😀
 
angalia ndio hawa watu wanaoiwta wanajeshi eti...jamaa wanakaa ni kana kwamba wamebanwa haja kubwa..😀😀.hebu leta picha za KDF...sio jokes hizi
79942cf544590730ff7afed313d73156.jpg
Najua haukosi neno la kutapika......ila siku mkijichanganya tu...tunawachapa mchana kweupe
 
Back
Top Bottom