El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Tupa predictions Buda Boss za Man city wakinyoroshana na Man u.
GG si mbaya msee...ama over 2.5
Tupa predictions Buda Boss za Man city wakinyoroshana na Man u.
Nyie ndie hao Nzi ala! why are you that slow.Nzi wanaofuata Mavi.
Inanikalia game ya bao moja nunge lakini nitaifikiria fit I niwekelee pamoja na ya Everton...Liver na Everton nawekelea GG.GG si mbaya msee...ama over 2.5
Watu wako Hustle Mbaya kutafuta unga...hakuna kuomba omba naipenda bidii ya my Brothers. Picha nzuri sana.naliamsha dude:
not only kibera and mathare,there are other places in nairobi kenyans won't show you.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sio kwenye five star hotels, hiyo kwenu imevunja rekodi, kingetokea Kibera wala nisingeshangaa, lakini next to state house, hiyo kali mazee, by the way njoo uone Dar ilivyo safi, utaipenda burezile kipindupindu za Zanzibar ziliisha....courtesy of ITV Tanzania.....huko huwa nasoma uchi wenu ambao hamtaki kuonyesha hapa
Hivi kuwa hustle maana yake ni kukaa juu ya tope lenye kinyesi?, mwenye Dictionary anisaidie maana ya kuwa hustle pleaseWatu wako Hustle Mbaya kutafuta unga...hakuna kuomba omba naipenda bidii ya my Brothers. Picha nzuri sana.

Kama hata nyumbani chakula hakuna, anaenda shule akiwa na njaa unategemea nini?. Ukisimama sisi tunakaa...Mwanafunzi wa kike, muombee njaa...atavua chupi tu hata kama ni shujaa...

Colomz yuko wapi ajekuona akina mama mboga wa cbd amekuwa akituponda sana smh!Watu wako Hustle Mbaya kutafuta unga...hakuna kuomba omba naipenda bidii ya my Brothers. Picha nzuri sana.
Iyo game ni tricky.. But naona man u or draw ni safeTupa predictions Buda Boss za Man city wakinyoroshana na Man u.
Mega city Nairobi aisee no kuzuri zaidi yakuzimunaliamsha dude:
not only kibera and mathare,there are other places in nairobi kenyans won't show you.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Kabisa yanWachafu wa mazingira, wachafu wa mwili, wachafu wa akili na wachafu wa roho.
Hivi kuwa hustle maana yake ni kukaa juu ya tope lenye kinyesi?, mwenye Dictionary anisaidie maana ya kuwa hustle please![]()
![]()

licha ya matusi mtajileta tu nairoberry kwa wingi kutafuta pesa......wa chagga wenzenu wamejaa gikomba wakiskuma mkokoteni wengine pia ni hawkers hii Nairobi ......wengine omba omba pia....wengine wako kazi ya mjengo pia.....karibuni Nairobi nyote mpate hela hahaha.....
Na pia mkija headquarters za kampuni zenu zilizoko Nairobi mkamate Tusker cidar baridi kwa mpigo
asante kwa povu...good morning.zile kipindupindu za Zanzibar ziliisha....courtesy of ITV Tanzania.....huko huwa nasoma uchi wenu ambao hamtaki kuonyesha hapa

ni aibu kubwa sana kwa watu wa nchi ya "middle income" ku-hustle katika mazingira machafu na hatarishi kwa afya zao.Watu wako Hustle Mbaya kutafuta unga...hakuna kuomba omba naipenda bidii ya my Brothers. Picha nzuri sana.

Ongeza picha zingine please.ni aibu kubwa sana kwa watu wa nchi ya "middle income" ku-hustle katika mazingira machafu na hatarishi kwa afya zao.![]()
![]()
![]()
![]()
.yani Zanzibar wana hata wimbo yah taifa..soka team rais wao currency Alafu wanasema niyao na vile she in amejitaidi
.zile kipindupindu za Zanzibar ziliisha....courtesy of ITV Tanzania.....huko huwa nasoma uchi wenu ambao hamtaki kuonyesha hapa
Tatizo kila anaposhika panateleza, hiyo ni siku ya kifo cha nyani.
Nashangaa sana wakati tunaongelea hoteli za kitalii, tuliambiwa kuwa Zanzibar haiko Tanzania, sasa imekuwaje leo iwe sehemu ya Jamhuri ya muungano?
I love the colors of this oldy Garimoshy,