Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata mwezi haijaisha na tayari ishaanza safari za empty seats😂😂👇👇🤣🤣

1721746626322.jpeg
 
Hata mwezi haijaisha na tayari ishaanza safari za empty seats😂😂👇👇🤣🤣

View attachment 3050137
Una uhakika kuwa hiyo treni imeanza safari mpaka inamaliza ikiwa hivyo hivyo!?
😂😂😂😂😂😂Hivi hujui kama kuna wanaobebwa njiani na kuna wanaoshuka njiani!?
Siku nitapanda diesel train yetu nikuoneshe ikitoka Dar es Salaam ikiwa na nusu ya mabehewa matupu halafu treni inakuja kujaza Morogoro na Dodoma.
Umeishiwa hoja wewe.
 
Una uhakika kuwa hiyo treni imeanza safari mpaka inamaliza ikiwa hivyo hivyo!?
😂😂😂😂😂😂Hivi hujui kama kuna wanaobebwa njiani na kuna wanaoshuka njiani!?
Kwani train imekuwa daladala tena?😂😂🤣🤣
 
Kwani hakuna vituo vidogo!?
😂😂😂😂😂😂We jamaa ni kichaa!?
Hata gari la mkoani si lina vituo vya njiani kabla haijafika main bus terminal!?
Pugu Na Soga sio vituo vya njiani!?
Au Pugu na Soga ni main rail station!?
Sijaona pugu wala soga katika trials, lini zimeanza
 
Back
Top Bottom