Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Msikilize huyo mkunya mwenzako kuanzia 40 secs anachosema,economy yetu watu awaangaliani kama ya huko kwenu wehu nyie
Mbona hata hizo 3 mpya bado wanaangaliana tu, achana na hawa farasi
1721661175191.jpeg
 
Most luxurious train in Africa, rovos, speed maximum ni 60kph. Inatembea kutoka Pretoria mpaka Cape Town. Cheapest tickets ni R37500
images-8.jpeg
images-7.jpeg
images-6.jpeg
 
Dubwana liko very intimidating spewing fire and soot while snorting like the dragon.
People have moved on to customer friendly trains nowadays.
Dereva wa hii train hawezi vaa suti maana kuna issues za diesel na soot lazima avae nguo za ufundi kama walati wa treni za steam kutupia makaa ya mawe kwenye kinu cha engine 🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅😅 Watakuloga
 
Back
Top Bottom