ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,519
- 85,347
Pole kwa maumivu, hakuna ya kulinganisha na hiyo EA nzima.
View: https://x.com/OfficialMkapa/status/1813371344270102545?t=8Yif9dyUEsVYWC_uBgRdVg&s=19
Watanzania wanaelewa in and out ya maisha ya wakunya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baadhi ya wakenya wanaojitambua.
View: https://x.com/odondii/status/1812894911588401441?t=99ScOIxoQBPi3uJHiqWaBg&s=19
Aisee Tanzania mpya inapendekeza sanaaaa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kelele zilizobaki ni jidipi 🤣 🤣 🤣 🤣Bro sio baadhi ya wakenya bali over 99% ya wakenya wanajua Tz sio level yao tena kwa sasa.
Nilichogundua huyu kasema hivi lakini watanzania wakimsikia watamchukulia poa au hata wengine kumponda Ila ingekuwa vice versa, hiyo clip ingetangazwa mpaka kwenye national broadcasting cooperation ya Kunyaland kila mtu angekua excited na ingetumika kama silaa kwa watanzania, kama ile ya babalevo mpaka leo wanaiona kama ni fresh kabisa kila mahali ipo na ina millions of views
Kupenda sifa za kijinga kutawatokea puani hawa nyang'au.Kwa vile mnavuruga nchi yenu mnataka ienee east Africa yote, tatueeni matatizo yenu kivyenu