Thanks kwa taarifa, dah! Nilikuwa sijui hii ya kutomaliza. Najua alikuwa sumagod Tanzania na kuondoka kwenda masomoni East Germany akiwa na kama Mtanzania na passport ya Tanzania na alitua Egypt before kuelekea Germany. Hata Miguna Miguna pia alipitia Tanzania.unajua RAO hakumaliza chuo Ujerumani! Hana degree!
sasa wacha wivu kwa Makamba! kufanya vibaya secondary si kufanya vibaya chuo!Thanks kwa taarifa, dah! Nilikuwa sijui hii ya kutomaliza. Najua alikuwa sumagod Tanzania na kuondoka kwenda masomoni East Germany akiwa na kama Mtanzania na passport ya Tanzania na alitua Egypt before kuelekea Germany. Hata Miguna Miguna pia alipitia Tanzania.
Tumesaidia sana hizi kenge.
Kesho nenda kwenye maandamano tafadhali๐
Sina wivu ni ukweli tu kuwa hana uwezo.sasa wacha wivu kwa Makamba! kufanya vibaya secondary si kufanya vibaya chuo!
Hivi utasema kuna nchi hapa na bado watu wakuchukulie timamu? ๐๐๐๐
Sisi tukiweka tariff kwenye bidhaa moja Tu hapo, watalilia mpaka dunia nzima ijue!! Shenzi hawa.Kama Kuna ulazima Serikali ya ๐น๐ฟ ifanye the same move Kenya to Impose Levy on 6 Goods if Imported From Tanzania [LIST]
Bora aende huko, asije kUtuletea fujo za kutaka uraisi hapa! Aende tu huko huko AU.Ni ujinga kuweka hii takataka Makamba, a school serial failure na very corrupt.
Man eat man society ndio tabia zao hao nyangau.Hivi utasema kuna nchi hapa na bado watu wakuchukulie timamu? ๐๐๐๐