NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,976
Yani huko kwenu polisi kupiga raia marisasi bila kujali ndio good training? Enyewe tumezungukwa na watu walio na Stockholm syndrome.Police wa kenya hamna kitu ni kama wale askari wa Mobutu ,kichekesho hadi raha