The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Nyinyi ndiyo nini, tunasema ninyi.Wewe mwenyewe Kiswahili hukijui, nyie ndio nini!? Tunasema "Nyinyi"
Nyinyi ndiyo nini, tunasema ninyi.Wewe mwenyewe Kiswahili hukijui, nyie ndio nini!? Tunasema "Nyinyi"
Kamepanic ☝️ ☝️ 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mtanganyika mseng.e unajua nini kuhusu kiswahili?
Sio nyie tena 😅😅😅Nyinyi ndiyo nini, tunasema ninyi.
Yani hivyo vijengo ndio vimemaliza hela ya serikali tangia john pombe yuko hai? njooni benchmarking Tatu City mjifunze, haya mambo sio magumu kiasi hicho 😅😅😅😅😅Bro Dodoma is not a joke, wacha kabisa mchezo, ndiyo mji unaokula pesa ya Tanzania kwa sasa just imagine, cement inayotumika hapo ni zaidi ya cement zinazotumika EA nzima combined.
Dodoma ushaikimbia hutaki tena comparison 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sio nyie tena 😅😅😅
Kuna viwanda ngapi Dodoma tu compare na Tatu city.Dodoma ushaikimbia hutaki tena comparison 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza tumalizane Dodoma vs mombasa c umetaka mwenyewe, alafu tukitoka hapo ndipo tuje kwenye issue ya viwanda, nipo hapa mpk asubuhi kibwengo wewe.Kuna viwanda ngapi Dodoma tu compare na Tatu city.
Ok, kwanza kubali mombasa sio ya ku compare na Dodoma alafu tuje tatu village Vs Dodoma.Yani hivyo vijengo ndio vimemaliza hela ya serikali tangia john pombe yuko hai? njooni benchmarking Tatu City mjifunze, haya mambo sio magumu kiasi hicho 😅😅😅😅😅
Wala usiweweseke kutaka kulinganisha mtaa mmoja vs city.. hapo ndio kwanza nimeanza.. 🤣🤣🤣🤣Yani hivyo vijengo ndio vimemaliza hela ya serikali tangia john pombe yuko hai? njooni benchmarking Tatu City mjifunze, haya mambo sio magumu kiasi hicho 😅😅😅😅😅
Utatii tuu maaanina, moto tunaowapelekea sio wa dunia hii qmamaee, wakati hii battle inaanza mlifikiri sisi ni level yenu, now mshaujua ukweli mmebaki na vimaneno vya kizamani, kipindi kile c mlikuwa mnakesha kupost vipicha vya Nairobi now mshagundua tumewaacha mbali mmebaki na vimaneno vya kwenye kanga, sasa sikia nikwambie miaka miwili haiishi utakimbia hii battle, mana yajayo ni hatari tupu, wenzio wengi walikuwa wajeuri kuliko wewe na wamekimbia.they clearly didnt understand my point ..tz feels so 30 years ago honestly even with these stendi za basi et.al.....
Nakupa ruksa changanya Dodoma na Dar slum tupige battle na Mombasa, hapo vipi 😅😅😅Kwanza tumalizane Dodoma vs mombasa c umetaka mwenyewe, alafu tukitoka hapo ndipo tuje kwenye issue ya viwanda, nipo hapa mpk asubuhi kibwengo wewe.
Yote hayo ni miji mpya inayoundwa from scratch, wasiwasi wanini bibie? 😂😂Wala usiweweseke kutaka kulinganisha mtaa mmoja vs city.. hapo ndio kwanza nimeanza.. 🤣🤣🤣🤣
Huna guts za kuwaka mombasa residential buildings unaogopa. 🤣🤣🤣 mana utakula za uso hadi ukimbieNakupa ruksa changanya Dodoma na Dar slum tupige battle na Mombasa, hapo vipi 😅😅😅
Nionyeshe mtaa wa kifahari kama Nyali Dar slum niondoke Jf...Huna guts za kuwaka mombasa residential buildings unaogopa. 🤣🤣🤣 mana utakula za uso hadi ukimbie
There are so many streets in dodoma zenye they all bigger than tatu city. Unataka battle na mtaa gani.? 🤣🤣🤣 njedengwa.? NCC link.?Yote hayo ni miji mpya inayoundwa from scratch, wasiwasi wanini bibie? 😂😂
Dodoma umeishindwa.? 🤣🤣🤣Nionyeshe mtaa wa kifahari kama Nyali Dar slum niondoke Jf...
Nyali imekushinda, changanya Tanzania nzima niletee mtaa wa kifahari Kama nyali niondoke Jf🙃Dodoma umeishindwa.? 🤣🤣🤣
Joker 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Nakupa ruksa changanya Dodoma na Dar slum tupige battle na Mombasa, hapo vipi 😅😅😅
Nimefurahi 🤣🤣🤣🤣 dodoma huiwezi kaa kwa kutulia chizi wewe.Nyali imekushinda, changanya Tanzania nzima niletee mtaa wa kifahari Kama nyali niondoke Jf🙃