Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Hela za ndani na deni limefika 35bn USD. Tayari suluhu ashakopa 2.5bn kutoka Korea.
Peanut ikilinganishwa na Kundustan mnajiharishia Madeni 😂😂Hela za ndani na deni limefika View attachment 3018634
Unaita 35 billion dollars peanuts😃😃Peanut ikilinganishwa na Kundustan mnajiharishia Madeni 😂😂
Mzee nakubali, hauna sifa za kijinga😎
💪🏾💪🏾Mzee nakubali, hauna sifa za kijinga😎
😀 😀😀Hakika hii battle imewafanya watu wajue mengi.
Hiv kama umeme umekuwa mwingi. Si wapunguze bei ya unit za umeme watu watumie umeme kwenye kila kitu? Umeme utumike.
Watu wanajibana kutumia majiko ya umeme,washing mashine, friji, nk kwa sababu gharama bado ni kubwa kwa mtanzania wa kawaida
Wacha umeme uende Zambia hawa nyangau wakachukue huko Ethiopia ambao wameshindwa hata ku meet demand ya Kenya.Hiv kama umeme umekuwa mwingi. Si wapunguze bei ya unit za umeme watu watumie umeme kwenye kila kitu? Umeme utumike.
Watu wanajibana kutumia majiko ya umeme,washing mashine, friji, nk kwa sababu gharama bado ni kubwa kwa mtanzania wa kawaida
Bado mkuu mdogo mdogo ndio kwanza units 2 ndio ziko online the rest zikikamilika ndio totakaa chini ku chart out new tariffs. But still our electricity ni cheap kwa EA. Kenya unit Kwh ni 0.22 dollars while TZ ni 0.11.Magufuli alisema bwawa likianza uzalishaji lazima umeme ushuke bei, cha kushangaza mamlaka zimekaa kimya juu ya hilo, hakuna hata mmoja anayeongelea kuhusu kushuka kwa bei ya unit ya umeme.