Huyu mjinga ndiye huwa anaharibu mijadala humu ndani kwa kuleta kauli mbaya, za majivuno na kauli zingine kadha wa kadha zisizofaa kiasi kwamba na sisi inatubidi twende kwa beats hizo hizo anazoenda ili tuelewane, inajulikana dhahiri tabia za wakenya kwamba ni ngumu ku debate nao kiustaarabu lkn huyu mjinga huwa anavuka mipaka, ingependeza jamiiforums kuzipiga ban ya moja kwa moja 🆔 za wahuni kama hawa cz malezi mabovu na maisha magumu huenda ndiyo sababu ya kuwa na tabia hizi, lkn tabia zake za huko alipotoka asituambukize na sisi watanzania anatumia I'd mbili
Teargas na
Teargass kama atarudi kwa id nyingine akileta tena kauli mbovu piga ban.