Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Hivo ndio mlidanganywa? 😂“Reli yetu ya kisasa SGR itakuwa reli ya tano duniani kwa urefu baada tu ya China; km 40,493, Hispania; km 3,917, Japani; km 3,146, Ufaransa; km 2,735 na Tanzania; km 2,080, ikifuatiwa na Ujerumani; km 1,631, Uturuki; km 1,232 na Finland; km 1,120. Na itakuwa reli ndefu kuliko reli zote duniani kwa nchi zinazoendelea.” – Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha.
View attachment 3017037