Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani hajui shawarma in this world? Is it new to you? Shawarma is a street food.

Anyway siku utaanza kukula food za maana si utakimbia uchi? Kama Smocha pekee ndio unapiga picha na kupost huku😂😂
Nenda katibiwe kwanza mikono na vidole. Shakira Mohamed Boss wako wa zamani yupo TZ

1718190836728.png
 
Wamezoea kununua fossils, Bongolala nzima Dar is a slum pekee ndio kuna showroom ya brand new passenger cars. The rest of the country imejaa umaskini, hawawezi afford new cars. 🤣 🤣 🤣 1 city country full of poverty.
Tanzania stinks poverty 😂😂😂
 
Huyu hapa NairobiWalker . Hizi ndizo sample za watu tunaojadiliana nao hapa 🤣 🤣 🤣 🤣
View attachment 3015426
Sasa wewe inafaa ubakie hapa, hizi ndio unafaa uwe una post humu, hapa sitakukukosoa hii ndio level yako wewe na akina Sama Boy, topics za kushirikisha ubonga wachana nazo kabisaaa., hauna uwelewa wowote, akili yako ni ya kuvuka barabara, kujua kuvaa usitembee uchi, kukula na kukunya chooni.., zaidi ya hapo hamna kitu.,
 
According to reasoning yao watakuambia wako na high purchasing power than Americans ama Europeans😂😂
😂😂😂 Yani hawawezi ona ukitoa nchi zilizo na vita vya ndani, nchi Tajiri huwa na higher cost of living than nchi maskini.😂😂
 
Ata hiyo primary na shuku, wengi wamejifunza mambo mengi humu, if you started with this thread earlier they were clueless, ata the word render it is us who introduced it to the idiots.., hawakujua.., bana have been with this guys for long, nilichoka nao..,
Napitaga huku kimya kimya nyie hamnaga akili nakwambia kabisa,Na sio mimi tu tupo wengi tunashang'aa hawa watu wanaakil kwel?
Chakula kinawashinda upo hapo unabrag na lugha ya mwiingereza na vighorofa ya wachina na malls za wasomali!
Juzi tu rais wenu ameenda kuomba mchele bado upo hapo unabrag?
Aisee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Napitaga huku kimya kimya nyie hamnaga akili nakwambia kabisa,Na sio mimi tu tupo wengi tunashang'aa hawa watu wanaakil kwel?
Chakula kinawashinda upo hapo unabrag na lugha ya mwiingereza na vighorofa ya wachina na malls za wasomali!
Juzi tu rais wenu ameenda kuomba mchele bado upo hapo unabrag?
Aisee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbwa jingine hili hapa..., imebakia kidogo wewe ukageuka waazimu..,
 
Kumbe haya MaKenya ni viazi vitau kabisa, kunahilo lijinga limoja limekuja na ujinga wake eti linataka kuniambukiza kwamba nijue tofautisha kati ya cost of living na PPP, wakati PPP inatumika kufanya comparison ya cost of living..

purchasing Power parity (PPP) is a concept used in economics to compare the cost of living and economic indicators across different countries. It provides a framework for understanding the relative value of currencies and the purchasing power of individuals in different nations.

Sasa haya majamaa kumbe ni nyang'au kabisa..

Huwezi fanya comparison ya PPP kama hakuna cost of living, utofauti wa cost of living wa nchi moja na nyingine ndio unapelekea kupata PPP...

Ujuaji mwingi kumbe zero tu..
 
😂😂😂 Yani hawawezi ona ukitoa nchi zilizo na vita vya ndani, nchi Tajiri huwa na higher cost of living than nchi maskini.😂😂
Hawa wanajitoa ufahamu wazi wazi.., ukiwaumbua wanatafuta pakutokea na vijisababu uchwara.., ujinga tupu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
This is because the demand for items in Dar ziko chini kuliko supply. In Kenya the demand is higher than the supply.
Wacha ufalamanga mbwa wewe, hiyo inatokana na ku import almost every food items na ndiyo maana huko vitu ni bei sana, chukulia mfano mdogo, kule china na ulaya bei za gari ni very cheap kama utachukua used car lkn ukiileta huku inakuwa gharama kubwa kwa sababu ya gharama za importation na taxes tofauti tofauti, the same applies to you interms of food stuffs, you import all food stuffs and mostly from Tanzania na ndiyo maana huko kwenu tukiongelea price ya vitu inakuwa juu, sasa huku kwetu gharama ni ndogo kwasababu food stuffs nyingi tunalima wenyewe lkn ukiangalia price za electronics almost the same Kenya and Tanzania hiyo ni kwasababu wote tuna import.

Sasa tukija kwenye purchasing power, definition ya purchasing power ni uwezo wa pesa kununua vitu vingi. Sasa huko kwenu pesa yenu inanunua vitu vichache hususan food stuffs as compared to Tshs kwa idadi ile ile ya vitu, hapo utasema pesa gani ina purchasing power kubwa kati ya ksh na tsh? Usifananishe uchumi wa nchi zilizoendelea na nchi zinazoendelea mana ukiangalia kshs ni kubwa kuliko Japanese yen, je wewe mkenya ukienda Japan utawezana na kshs yako? Wacha upumbavu.
 
Sasa wewe inafaa ubakie hapa, hizi ndio unafaa uwe una post humu, hapa sitakukukosoa hii ndio level yako wewe na akina Sama Boy, topics za kushirikisha ubonga wachana nazo kabisaaa., hauna uwelewa wowote, akili yako ni ya kuvuka barabara, kujua kuvaa usitembee uchi, kukula na kukunya chooni.., zaidi ya hapo hamna kitu.,
This is a heavy beating 😂😂😂😂.
 
Kumbe haya MaKenya ni viazi vitau kabisa, kunahilo lijinga limoja limekuja na ujinga wake eti linataka kuniambukiza kwamba nijue tofautisha kati ya cost of living na PPP, wakati PPP inatumika kufanya comparison ya cost of living..

purchasing Power parity (PPP) is a concept used in economics to compare the cost of living and economic indicators across different countries. It provides a framework for understanding the relative value of currencies and the purchasing power of individuals in different nations.

Sasa haya majamaa kumbe ni nyang'au kabisa..

Huwezi fanya comparison ya PPP kama hakuna cost of living, utofauti wa cost of living wa nchi moja na nyingine ndio unapelekea kupata PPP...

Ujuaji mwingi kumbe zero tu..
I told you. Umejionea sasa 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom