Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kati ya Bloomerg and Kenyan government who collected the tourism figures?😂😂
Bloomberg anachukua news straight from the government sio news kiosk ya mama hii. Na report za serikali ambazo nimekutumia zina corroborate hizo data.

Sasa wewe niambie hiyo figure yako umeitoa wapi kama sio mapishi ambayo mmeyazoea?
 
Mambo ya magari hujui.
Na nimewakaanga kisawasawa Leo alaf na ww ukacheka au ulijua kondoo mwenzako kapatia 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇

Screenshots_2024-06-09-16-20-50.png
 
Umetukaanga na Maybach fake? Hujui hata kutofautisha Maybach fake na original, just the same way hujui kutofautisha Scania na Isuzu.
Ametukaanga na hii pia. 2024 model E-Class. 🤣
Enjoy maisha ya msanii WA kawaida Sana Tanzania na hata Hana jina kihivo

🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 Tizama nyumba na magari anayomiliki, kwenu ni mpaka joho au sonko ndio anaweza


View: https://www.instagram.com/reel/C7MkJp0Nqbp/?igsh=b3JsdnBrM3RtNWsz
 
Umetukaanga na Maybach fake? Hujui hata kutofautisha Maybach fake na original, just the same way hujui kutofautisha Scania na Isuzu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

wewe hapa ulicheka nini??

Screenshots_2024-06-09-16-20-50.png
 
Mm namilikia Benz na BMw so ni Aina ya gari kama hzo so huwez nidanganya anything kuhusu magari ikiwa mm namiliki alaf nibishane na MTU Hana hata baiskeli ya kusingiziwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ebu weka picha zao hapa😂😂
 
Back
Top Bottom