Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkutano mkuu ya young Africans 🇹🇿🇹🇿
Kenya itafika hapa 2050



View: https://www.youtube.com/live/HoJwaVSeSM4?si=QeVILVN-T1v6NDwW
20240609_105948.jpg

20240609_110038.jpg
 
Just imagine na Dar to Kigoma ni 1255km wakati naislum to moyale ni 777km, pia umeona kashangaa kuona kuna paved roads mpaka kwenye streets za back the main road tena zina taa kabisa, moyale tofauti na main trunk road hakuna hata tone la lami, na hapo bado barabara zote za Kigoma hazijakamilika.
Correction Dar - Kigoma ni 1600km
 
Wakenya walikua wanatuzidi tu PR ila kiukweli ni hawatuwezi, kwa huku kujitangaza tulikonako kwasasa watches abu tu nyayo, mana haitokua kuwapita ila ni kuwavuka.
Are you aware that Kenya earn more revenue from Tourism than Tanzania?
 
Back
Top Bottom