Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukija na basi yako ya kunguni hapa Tanzania. Utabeba ng'ombe

1717837176992.png


1717837330006.png
 
Statistics za Mama Ngina. Yaani unaongelea 2100 🤣 🤣 🤣 🤣
kwenye hiyo post yake inaonyesha kwamba by 2100 china population itakua ni watu 700 million while population ya sasa ni 1.4 billion people sasa muulize mpakakufikia mwaka huo wa 2100 wachina watakuwa wamekufa 700 million people.? 🤣🤣🤣 akikupa majibu naomba unitag.
 
kwenye hiyo post yake inaonyesha kwamba by 2100 china population itakua ni watu 700 million while population ya sasa ni 1.4 billion people sasa muulize mpakakufikia mwaka huo wa 2100 wachina watakuwa wamekufa 700 million people.? 🤣🤣🤣 akikupa majibu naomba unitag.
Halafu kuanzia leo wachina hawazaliani tena wanakufa tu 🤣 🤣 🤣Yaani kila mwaka wachina 9,210,526 wanakufa tu.
 
Banks zenu zimekusanya faida ya nchi zote zinazooperate wakati banks za Tanzania ni profits za Tanzania tu, yaani hapo ni Tanzania versus East Africa
Kwa hivyo hujaona Stanbic Bank Kenya, Uganda na Tanzania zikiwa ranked separately. Rudi shule ujifunze kuthink critically.
 
kwenye hiyo post yake inaonyesha kwamba by 2100 china population itakua ni watu 700 million while population ya sasa ni 1.4 billion people sasa muulize mpakakufikia mwaka huo wa 2100 wachina watakuwa wamekufa 700 million people.? 🤣🤣🤣 akikupa majibu naomba unitag.
Unajiona umefikiria Sana kumbe ni zero brain...
Je umefikiria birth rate yao inalingana vipi na death rate ama ndo ile elimu ya Uswazi ya multiple choices 😅😅😅
Picsart_24-06-08_14-13-53-986.jpg
 
Back
Top Bottom