Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mikunya utashangaa inalinganisha lile jongoo lao na hii bullet


View: https://vm.tiktok.com/ZMrRt8bm1/

Hawana akili. 😂 unakuta Mkundustan kwenye comment section ya post inayohusu kitu kizuri cha Bongo, anaweka ile exchange rate yao halafu anashukuru kuzaliwa Kenya😂😂😂😂😂. Huku vitu basic ( Basic needs ni Janga la Taifa)
 
Kenya is not LDC
Tanzanian is LDC

Income and development are two different things.
Akili yako inafanya kazi kweli? Je umesoma hiyo article au unajifanya mwehu na domo lako hilo kama hippopotamus, ushawahi kuona LDC ina treni ya umeme? Ushawahi kuona LDC ina BRT?, ushawahi kuona LDC ina cable stayed bridges?, ushawahi kuona LDC ina mji mpya mkubwa wa kisasa kama Dodoma? Ushawahi kuona LDC ina bwawa kubwa la umeme kama JNHPP? Ushawahi kuona LDC ina big industrial park? Ushawahi kuona LDC ina big truck assembly plant? Ushawahi kuona LDC ina tengeneza ndege?Kwa bahati mbaya hivyo vyote nilivyotaja havipo huko kwenu the failed state, pole kama nimekuudhi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbeya hua kijiji tu. 🤣 🤣 🤣

Image
 
Akili yako inafanya kazi kweli? Je umesoma hiyo article au unajifanya mwehu na domo lako hilo kama hippopotamus, ushawahi kuona LDC ina treni ya umeme? Ushawahi kuona LDC ina BRT?, ushawahi kuona LDC ina cable stayed bridges?, ushawahi kuona LDC ina mji mpya mkubwa wa kisasa kama Dodoma? Ushawahi kuona LDC ina bwawa kubwa la umeme kama JNHPP? Ushawahi kuona LDC ina big industrial park? Ushawahi kuona LDC ina big truck assembly plant? Ushawahi kuona LDC ina tengeneza ndege?Kwa bahati mbaya hivyo vyote nilivyotaja havipo huko kwenu the failed state, pole kama nimekuudhi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
1717873633213.png
 
Kuona ni kuamini, taja kitu ambacho Kenya ipo mbele ya Tanzania mana mm nishaweka infrastructures ambazo nyinyi hamna sisi tunazo na developed countries zipo, mm sikubaliani na watu wanao rank Tanzania kuwa ni LMIC mana nchi zote za LMIC ikiwemo Kenya tumezipita kimaendeleo. Hiyo miradi niliyokutajia yote kwenu hakuna, hata tukija kwenye michezo bado tumewaacha mbali sana, mpaka leo hamna CAF and FIFA approved stadium, unawezaje kuilinganisha Tanzania na Kenya?
 
Kuona ni kuamini, taja kitu ambacho Kenya ipo mbele ya Tanzania mana mm nishaweka infrastructures ambazo nyinyi hamna sisi tunazo na developed countries zipo, mm sikubaliani na watu wanao rank Tanzania kuwa ni LMIC mana nchi zote za LMIC ikiwemo Kenya tumezipita kimaendeleo. Hiyo miradi niliyokutajia yote kwenu hakuna, hata tukija kwenye michezo bado tumewaacha mbali sana, mpaka leo hamna CAF and FIFA approved stadium, unawezaje kuilinganisha Tanzania na Kenya?
1717874527117.png
 
Back
Top Bottom