Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa mbona unajiaibisha mzee, haya angalia nyie birth rate yenu, ukizingatia kanchi kenu ni kadogo 👇👇View attachment 3011569
1963 population ya Kenya ilikuwa 8.6m wakati uswazistan ilikuwa 10.9m a difference of 2m

Today gap imefika 13m na inazidi kufura
😅😅😅😅
...
Picsart_24-06-08_09-16-26-759.jpg
Picsart_24-06-08_09-16-46-821.jpg
 
Ndio hivyo usishangae😅😅😅😅
Kadri munavyozidi kudandiana Kama mbuzi ndio idadi inapanda maradufu.
Na by 2100, mtakuwa mmefika 240m na GDP itakua 200bn
😅😅😅😅
Hzo data ww umetoa wapi, source yako ni mama Ngina au??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jibu swali, tofauti ya chassis ya Scania na Isuzu ni nini. Kama pia hujui sema tu😂😂😂.
Jibu swali, tofauti ya chassis ya Scania na Isuzu ni nini. Kama pia hujui sema tu😂😂😂.
Mm hua sijibu maswali ya kipuuzi 😅😅😅😅

Nilishakwambia ww huna ulijualo kwenye magari, swali lako Tu tayar unaonekana ww ni kilaza WA Aina gani
 
Mm hua sijibu maswali ya kipuuzi 😅😅😅😅

Nilishakwambia ww huna ulijualo kwenye magari, swali lako Tu tayar unaonekana ww ni kilaza WA Aina gani
Sema tu hujui hakuna mwenye atakuchapa😂😂😂
 
Sema tu hujui hakuna mwenye atakuchapa😂😂😂
Wala siwez kujibu swali la kipuuzi mm 😅😅

Hayo maswali yapo Google kwa vilaza kama ww, ila ndio nishakwambia huna ilijualo kwenye magari wewe
 
Wala siwez kujibu swali la kipuuzi mm 😅😅

Hayo maswali yapo Google kwa vilaza kama ww, ila ndio nishakwambia huna ilijualo kwenye magari wewe
Nimekuruhusu ulete hiyo ya google😂😂😂
 
Back
Top Bottom