El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
nairobi has close to 500 estates na hapa tume post kama ten only na kuwapiga bao mingi Vila comeback.....mnatapatapa tu ujingani mkipiga towers zile kando ya beach na makeup na different angles kila siku........Yani kuwaambia ukweli kabisa wakenya kinacho wasaidia mnapicha nyingi lakini nairobi hamna kitu cha ajabu. Laiti tungekuwa tunapiga picha nyingi kama nyie mngeshakimbia hapa. Sema tuna vitu vingi vya msingi vya kufanya.
