Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mipango ya kimkakati, nyie taifa limeuzwa, sasa ni propaganda sijui nini wala nini.., kwa sasa hamna lenyu..., mmedharauliwa sana, not treated as equal partners but omba omba, kuna kitu wamemega tayari hawa waKorea.., minyani nyie hehehehe
Kenya mmekuwa treated as equal partners. Mmepeana sh ngapi.? 🤣🤣🤣 kwahiyo kwako kitu muhimu ni idadi ya watu kwenye kikao.? Na si deals zenye mmesaini.? Wewe ni zezeta tu.. kweli nimeamini ule msemo unaosema "hata wapumbavu wanazeeka" you are one of them bro ..
 
Mmedhalilishwa, fyata tafadhali..., haijalishi, watu wametumwa kuwahadaa na kuwatia kwenye utumwa wa deni kubwa na taifa ni hafifu kiuchumi.., kitawaramba!
Saizi imekua ni utumwa wa deni kubwa la taifa.? 🤣🤣🤣 na wakati mlivyooenda kufuata hizo pesa ili kujimwambafai.? Au kwakua mmepewa pesa kiduchu ndio machozi yote haya.?

400 million US dollars mmepatiwa, hamridhiki.? 🤣🤣🤣
 
Jielimishe wewe zezeta., yaani mmedharauliwa mnatumiwa vijakazi wa chini na nyote mmekaa kifala mmekenua meno, minyani ya Tanzania!!!.., taifa dhaifu la kudharauliwa, Mwalimu Nyerere amepinduka kwenye kaburi lake kwa sasa, haamini haya.,
View attachment 3009340
Mitanzania imefika nchi nzima mkorea katuma watu watatu😅😅😅
 
Jibu swali achana na mbwembwe
Je, unajua issue za Protocol and Etiquette?
Now u are exposing your level of ignorance, eti unajaribu kukwepa kwa kujitia eti unaelewa mambo ya protocol na etiquette, kwanza nikuulize etiquette inatokea wapi hapa? It's a virtue that all right thinking humans should show at all times. Regardless, a president lazima haeshimike, kiti chake kiliwekwa kando, haibadilishi anakutana na low cadre staff, angetuma baadhi ya hao nyani walio ambatana na yeye wanafinyana kifala kwa room ndogo, hehe
 
Wasione hii plz 😂😂
Screenshots_2024-06-05-02-09-28.png
 
Acha kujidhalilisha kijana watu wengi wanasoma ujinga unaoandika!! Hapa ni kikao cha Tz na board ya wagurugenzi wa filamu ya south korea.
With the president 😵 😵 😛😀😛😀😀
 
Na ndio maana ACTL haijawai pata faida tangia 1970..
Na hizo multiplier effects pia hazionekani uswazistan,
-JNIA handles 1/3 of JKIA passengers
-Precision Air( KQ subsidiary) is gaining grounds on ACTL routes in uswazistan
- Tourists arrivals are lower than
Kenya
- JNIA handles 1/4 of JKIA cargo
😅😅😅😅
Hzi figure umetoa wapi?? Au ni figure za hasira😂
 
Hizi nyani akili ziliduaa, nimepitia huu uzi baada ya mda mrefu naona wako pale pale ki fikra., idiots.😀
No future in Kenya mzee wacha kujidanganya, hata wewe ukifa alafu ukapewa nafasi ya kuishi tena huwezi kuchagua kuwa mkenya dhidi ya Tanzania, never ever, huwezi kukubali I'm 100% sure, hakuna mkenya atakataa kuwa mtanzania, na ndiyo maana ni vigumu kusikia mtanzania amekana uraia wa Tanzania na kuwa mkenya lkn wapo wakenya kibao wanapambana kuwa watanzania na wengi wao wanakosa wanapata wachache sn.
 
No future in Kenya mzee wacha kujidanganya, hata wewe ukifa alafu ukapewa nafasi ya kuishi tena huwezi kuchagua kuwa mkenya dhidi ya Tanzania, never ever, huwezi kukubali I'm 100% sure, hakuna mkenya atakataa kuwa mtanzania, na ndiyo maana ni vigumu kusikia mtanzania amekana uraia wa Tanzania na kuwa mkenya lkn wapo wakenya kibao wanapambana kuwa watanzania na wengi wao wanakosa wanapata wachache sn.
Siwezi tamani nchi ya watu wajinga, ignorant, wenye laana ya mababu inawafata kila kizazi, yani nyie vitukuu mnaishi maisha yale yale ya mababu, ufukara wa kiaina, elimu duni, kukandamizwa, waoga waoga, kha!!! Tanzania ni makazi ya mapepo walai, mnaitaji tambiko la Damu kuu ya Yesu, sio dini wala siasa, mlirogwa nyinyi, Kenya for life.,
 
Back
Top Bottom