Shida yenu Mkiambiwa ukweli mnapinda mada mnatapatapa alafu mnajaribu kuexplain mambo in a different way.
Mmepost picha tukawaambia street zenu ni mbovu. Badala ya kujidefend, ukaanza kuboboja eti ooh, hizi vitu za kawaida Arusha.
mwaiofhawaii akakuuliza badala ya kujidefend unaruka Arusha ukaendelea ooh unaonyesha jinsi tunavyoshabikia vitu vya kijinga. - a wise man would have simply explained that most streets in Dar CBD are well marked na kuwa hiyo ni street moja pekee lakini ujinga wako unabishana mara unaruka huku mara unaingiza BRT mara matatu na mada ni simply juu ya properly marked street parking. The point is, street kama hiyo kuwa katikati mwa CBD ni aibu hata kama ni street moja pekee. Na ukweli ni kwamba, most streets in Dar CBD ziko hivo. Street nyingi Dar CBD hazina properly marked street parking na zingekuwa nazo ungekuwa ushazipost humu.