The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
English ya wapi hii?Are you sure yours does??
English ya wapi hii?Are you sure yours does??
Eti imebuniwa na mkenya, nikuulize tu, kuna viwanja vingapi vipo kama huyu kobe 🐢 mpaka useme imebuniwa na mkenya? Lete proof kwamba huyu kobe kabuniwa na mkenya alafu na mm nikupe picha zaidi ya 100 za viwanja kama hivi design ya kobe punga wewe🐢 🐢 🐢 🐢 🐢 👇👇Talanta Stadium imebuniwa na Mkenya. Ngoja uone hiyo Samia Stadium yao kama itajengwa utapata Architect ni foreigner, Engineer ni foreigner alafu kila siku wanasema elimu yao iko juu.
Proof zilishawekwa humu mara kibao wacha uzembe. chongchung kaweka proof zaidi ya 50 humu, just accept and move on jaluoEti wakenya wanachukua mafundi kutoka Tanzania?😂😂😂😂
Do you have any proof?
Huyu mkunya anayeitwa Nicxie ni mzembe sana, huwa anauliza vitu ambavyo keshawekewa ni msahaulifu mno, mwenzie anajua ukweli ndiyo maana katumia neno fundi ni mfanyakazi wa hali ya chini sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣From "Do you have any proof" to "Fundi ni mfanyakazi wa hali ya chini sana." 😂😂😂
Hata wachina si cheap na ndiyo maana tunawakimbilia wao, so watanzania ndiyo wachina wenu when it comes to house construction.Underline the word, lowest cost. People with limited funds come to Tanzania to look for cheap labour. Yani in short, Kenya ni majuu yenu.
Unarusha maneno matupu hewani .?🤣🤣🤣 heb post huo mradi wa Tz ambao umejengwa na wakenya, au hata nyumba ya mtu binafsi tu. Empty talks ndio kazi yako.Fundi ni mfanyakazi wa hali ya chini sana. Kawaida wao wakija huku wanafanya kazi za hadgi ya chini. Sisi tunawapelekea architects na engineers wao kitu wanachoweza kujisifu nacho ni masons, housegirls, ombaomba na kuuza mitumba.
Ni kawaida ya wewe mbwa kubweka baada ya kuguswa kunako, endelea kubweka. 🤣🤣🤣Underline the word, lowest cost. People with limited funds come to Tanzania to look for cheap labour. Yani in short, Kenya ni majuu yenu.
Wakenya wangi hapa Tanzania wanafanya Kazi kwenye Mahoteli. Ni wazuri sana wa House Keeping. 🤣 🤣 🤣 Lakini kazi za Engineering wasubiri mwaka 2072.Unarusha maneno matupu hewani .?🤣🤣🤣 heb post huo mradi wa Tz ambao umejengwa na wakenya, au hata nyumba ya mtu binafsi tu. Empty talks ndio kazi yako.
As we talk Nairobi extent the difference with other African Cities including Dar.
Here we are at Pangani Nairobi
View attachment 3007447View attachment 3007449View attachment 3007450
🤣🤣 kijamaa kinakwambia kuna Kenyan engineers wanajenga majengo huku bongo. Sijawahi kuona wala kuskia hizo habari na ufuatiliaji wangu wote huu wa taarifa..🤣🤣🤣 yeye sijui katoa wapi hiyo maneo.Wakenya wangi hapa Tanzania wanafanya Kazi kwenye Mahoteli. Ni wazuri sana wa House Keeping. 🤣 🤣 🤣 Lakini kazi za Engineering wasubiri mwaka 2072.
Engineers don't build, they design and supervise construction. Contractors build.🤣🤣 kijamaa kinakwambia kuna Kenyan engineers wanajenga majengo huku bongo. Sijawahi kuona wala kuskia hizo habari na ufuatiliaji wangu wote huu wa taarifa..🤣🤣🤣 yeye sijui katoa wapi hiyo maneo.
Ni kasarani si kisirani.. Sasa unakubali kuna hela ya mchina hapo.. Hamkujenga kwa hela zenu vile mnasemaSo Kisirani haikujengwa na Mchina?
Come back yako ni kunitofautishia maana ya terminology engineering.? 🤣🤣 ulielewa swali we mnuka mavi wa kike ?Engineers don't build, they design and supervise construction. Contractors build.
Kima wa Tandale. 🚮
Ni mgumu sana au.. Huielewi??English ya wapi
It's not a comeback. Ni somo. Una mazoea ya kujiweka kwa discussions wakati hakuna unachoelewa. Umeambiwa Kenyan architects and engineers work in Tanzania wewe unadhani wanajenga. Sasa kama huelewi kazi ya engineer ni nini utawezaje kujadiliana kwa mjadala kama huu?Come back yako ni kunitofautishia maana ya terminology engineering.? 🤣🤣 ulielewa swali we mnuka mavi wa kike ?
Kuna majengo in Tanzania yamejengwa na Kenyans.? Mradi wowote tu, hata nyumba ya mtu binafsi.? 🤣🤣🤣
Subiri, muda ukifika ndio uulize uwanja na sio picha ya uwanja 😁Mnajenga chenu wapi huko? Hebu tuonyeshe picha.😂😂😂